Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
Haya wake wapenzi wa mafisadi.
Kila siku tunaongelea maadili na wengine mnapiga kelele.Kuna majitu yameiba lakini hata kuguswa hayawezi lakini waziri Mkuu wa Finnland kaachia ngazi kisa katuma 200 text messages kwa Mdada wa matiti manene.
Karibuni mje na michango yenu.
Kila siku tunaongelea maadili na wengine mnapiga kelele.Kuna majitu yameiba lakini hata kuguswa hayawezi lakini waziri Mkuu wa Finnland kaachia ngazi kisa katuma 200 text messages kwa Mdada wa matiti manene.
Karibuni mje na michango yenu.