Waziri wa Kilimo sikia kulio chetu

Waziri wa Kilimo sikia kulio chetu

twende wote

Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
50
Reaction score
84
Habari za majukumu,

Niende kwenye mada, hebu SERIKALI ingilieni suala la Hawa wageni, wanavuka mipaka wanakuja nchini wanakusanya mazao kwa Bei ya juu, mpaka Sasa gunia la mpunga linauzwa zaidi ya laki moja, wakulima wanauza kiholela sana, sikatai mi Jambo jema, lakini!? Swali je? Baada ya kuuza stock ikiisha, Bei haitapanda Mara dufu?

Maana mpunga uliokusanywa utarudishwa ukiwa umeongezwa thamani, unakuja km mchele,

USHAURI: Serikakali iingilie Kati suala hili, Kama haiwezi, Basi nunueni haya mazao kwa pesa ya SERIKALI, ili baadae wauziwe wananchi kwa Bei rafiki, vinginevyo wananchi hawatakaa wapate unafuu wa chochote,, maana vyakula Bei juu, mafuta Bei juu?

Sasa Waziri kituo kimoja kinachouza kwa wageni ni hapo misasi, MiSUNGWI, Kuna waganda kibao wanakusanya mazao, wanajificha guest, wanawapa wenyeji wanawanunulia kwa Bei hizo.. Sasa kengere imelia.
 
Mazao yakiuzwa bei kubwa mnalalamika

Yakishuka bei mnalalamika
Sasa mnataki nini wa Tz?
Hata sielewi wanataka nini? Zaidi ya uvivu tu Sasa tatizo lipo wapi mazao yakipata wateja na wakulima wakaongeza uzalishaji tatizo litakuwa nini?
 
Wewekamaunaona wakulimatunanufaikanjjooshambaulime achaushambawako
 
Kun watu wapo kuona kila msimu mkulima anapata Tabu kuuza na akiuza bei ya chini ndio wao huona furaha..waacheni wakulima nao mwaka mmoja mmoja wapate faraja.tuache akili za kukunja.
 
Habari za majukumu,

Niende kwenye mada, hebu SERIKALI ingilieni suala la Hawa wageni, wanavuka mipaka wanakuja nchini wanakusanya mazao kwa Bei ya juu, mpaka Sasa gunia la mpunga linauzwa zaidi ya laki moja, wakulima wanauza kiholela sana, sikatai mi Jambo jema, lakini!? Swali je? Baada ya kuuza stock ikiisha, Bei haitapanda Mara dufu?

Maana mpunga uliokusanywa utarudishwa ukiwa umeongezwa thamani, unakuja km mchele,

USHAURI: Serikakali iingilie Kati suala hili, Kama haiwezi, Basi nunueni haya mazao kwa pesa ya SERIKALI, ili baadae wauziwe wananchi kwa Bei rafiki, vinginevyo wananchi hawatakaa wapate unafuu wa chochote,, maana vyakula Bei juu, mafuta Bei juu?

Sasa Waziri kituo kimoja kinachouza kwa wageni ni hapo misasi, MiSUNGWI, Kuna waganda kibao wanakusanya mazao, wanajificha guest, wanawapa wenyeji wanawanunulia kwa Bei hizo.. Sasa kengere imelia.
Umelima heka ngapi we jamaa. Tumeshasema acheni kuwapangia wakulima bei. Watu walime kwa shida ninyi mnunue kiurahisi.
Tunataka chakula kipande bei ndio akili ziwakae sawa
 
Habari za majukumu,

Niende kwenye mada, hebu SERIKALI ingilieni suala la Hawa wageni, wanavuka mipaka wanakuja nchini wanakusanya mazao kwa Bei ya juu, mpaka Sasa gunia la mpunga linauzwa zaidi ya laki moja, wakulima wanauza kiholela sana, sikatai mi Jambo jema, lakini!? Swali je? Baada ya kuuza stock ikiisha, Bei haitapanda Mara dufu?

Maana mpunga uliokusanywa utarudishwa ukiwa umeongezwa thamani, unakuja km mchele,

USHAURI: Serikakali iingilie Kati suala hili, Kama haiwezi, Basi nunueni haya mazao kwa pesa ya SERIKALI, ili baadae wauziwe wananchi kwa Bei rafiki, vinginevyo wananchi hawatakaa wapate unafuu wa chochote,, maana vyakula Bei juu, mafuta Bei juu?

Sasa Waziri kituo kimoja kinachouza kwa wageni ni hapo misasi, MiSUNGWI, Kuna waganda kibao wanakusanya mazao, wanajificha guest, wanawapa wenyeji wanawanunulia kwa Bei hizo.. Sasa kengere imelia.
Wacha wakulima wapige hela wamelima kwa tabu.Hapo bado mahindi natowa wito wakulima wa mahindi nasi tukomae bei mana bei ya pembfjdo mwaka huu si rafiki.Tena nadhani mahindi yanaongoza kusafirishwa nje.
 
Habari za majukumu,

Niende kwenye mada, hebu SERIKALI ingilieni suala la Hawa wageni, wanavuka mipaka wanakuja nchini wanakusanya mazao kwa Bei ya juu, mpaka Sasa gunia la mpunga linauzwa zaidi ya laki moja, wakulima wanauza kiholela sana, sikatai mi Jambo jema, lakini!? Swali je? Baada ya kuuza stock ikiisha, Bei haitapanda Mara dufu?

Maana mpunga uliokusanywa utarudishwa ukiwa umeongezwa thamani, unakuja km mchele,

USHAURI: Serikakali iingilie Kati suala hili, Kama haiwezi, Basi nunueni haya mazao kwa pesa ya SERIKALI, ili baadae wauziwe wananchi kwa Bei rafiki, vinginevyo wananchi hawatakaa wapate unafuu wa chochote,, maana vyakula Bei juu, mafuta Bei juu?

Sasa Waziri kituo kimoja kinachouza kwa wageni ni hapo misasi, MiSUNGWI, Kuna waganda kibao wanakusanya mazao, wanajificha guest, wanawapa wenyeji wanawanunulia kwa Bei hizo.. Sasa kengere imelia.
Kabla ya kuangalia kuhusu bei wanayouza wakulima,ungemshauri kwanza bei ya mbolea ipungue.
Hivi unalima kweli wewe?
 
Back
Top Bottom