sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Hahhaaa hatari aiseeeWe utakua unazungumzia "dona" la ugali wewe!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hahhaaa hatari aiseeeWe utakua unazungumzia "dona" la ugali wewe!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
U didnt get sacarsm behind his p0st.p0le.Eti serikali inapendwa na wananchi, mtoa post ni mfanyakazi wa Twaweza?
Nani kakudanganya kuwa wananchi wanaipenda serikali?
Ukitaka kujua wanaipenda au wanaichukia, iwekwe tume huru ya uchaguzi.
Halafu nenda milembe ukatibiwe, Nape siyo waziri wa Qatar, Kwa hiyo hawezi kuifungia Aljazeera, TV ya Aljazeera ipo ktk taifa la Qatar, na Kwa hapa Tanzania hupatikana kupitia king'amuzi, au unataka avifungie ving'amuzi?
Nimeshasema mara nyingi, wana ccm ni mambumbumbu ya kutupwa.
Nahisi wewe umesoma maandishi ila hujamsoma mwandishiEti serikali inapendwa na wananchi, mtoa post ni mfanyakazi wa Twaweza?
Nani kakudanganya kuwa wananchi wanaipenda serikali?
Ukitaka kujua wanaipenda au wanaichukia, iwekwe tume huru ya uchaguzi.
Halafu nenda milembe ukatibiwe, Nape siyo waziri wa Qatar, Kwa hiyo hawezi kuifungia Aljazeera, TV ya Aljazeera ipo ktk taifa la Qatar, na Kwa hapa Tanzania hupatikana kupitia king'amuzi, au unataka avifungie ving'amuzi?
Nimeshasema mara nyingi, wana ccm ni mambumbumbu ya kutupwa.
Wengi walikuja na mihemuko, waliposoma tu sentence ya kwanza tu waliacha na kucomment, na ndo tabia ya GT wa humuKazi nzuri sana, hongera mtoa mada. Nasikitika sana GTs mmeniangusha sana, hata wale nnao wakubali leo ghafla mmekuwa wa kukurupuka kama kina fulani. Hivi ndugu zangu GTs mmepatwa na nini!?
Ahahahahahahahaaaaaa njingaaaaa laooooooooooMahakama kule misri ilishawahi kiwahukumu ****** kutoka aljazeera.
By the way source ya hiyo habari atakuwa ni kanjanja wa kibongo mkereketwa wa ukitani
Aljazeera is not a people of sport sporthana uwezo huo..al jazeera sio watu wa mchezo mchezo
Kama nakuona mkuu,umekaa roho juu juu...ngoja nikusanye vitu vyangu naomba muache mlango wazi
hahahahaa sifanyi kazi alijazira utaskia mtu fulani akisema alijazira magaidi....Kama nakuona mkuu,umekaa roho juu juu...
Wengine kejeli huwa inawapita mbali.soma uelewe
Atawapelekea ma-commando wake wa sarakasi?Huyo anao uwezo hadi wa kulipiga BITI TAIFA LA MAREKANI! Kwani hukusikia lile Onyo lake Alilowapa WAMAREKANI juzi!
Anafanya maombi kwa mwezi mzima mpaka Mkulu wa huko juu anakereka na usumbufu wake anatuma malaika au mwenyewe anatuma radi kutoka mbinguni kuteketeza mitambo yote ya Al-Jazeera.ivi anaanza anzaje kwa mfano???
WalewaleNgongo umenena!!
Nape fungia hawa Aljazeera uchwara.
Wanahatarisha amani ya nchi tuliyonayo, haiwezekani madawa yamejaa mahospitalini wao wanasema kuna uhaba wa madawa.
Hapa Kazi TU.