Donatila JF-Expert Member Oct 23, 2014 7,557 21,512 Oct 24, 2017 #1 Waziri wa Elimu Zanzibar, Riziki Pembe Juma amemsimamisha kazi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mtende kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi
Waziri wa Elimu Zanzibar, Riziki Pembe Juma amemsimamisha kazi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mtende kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi
Black Sniper JF-Expert Member Dec 10, 2013 28,465 45,761 Oct 24, 2017 #2 Kumsimamisha tu? Au na kifungo kabisa
Chupayamaji JF-Expert Member Sep 19, 2017 5,786 13,561 Oct 24, 2017 #4 Balahau kajitafunia pweza gizani
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Oct 24, 2017 #6 Kubaka ni kuingilia mtu bila idhini yake? Mbona anambaka na yeye anamsimamisha kazi kwa kumbaka bila idhini ya mwalimu
Kubaka ni kuingilia mtu bila idhini yake? Mbona anambaka na yeye anamsimamisha kazi kwa kumbaka bila idhini ya mwalimu
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Oct 24, 2017 #7 Kazi kwelikweli...japo habari haijakamilika