Waziri wa Elimu akipongeza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kuanza kutoa Scholarship kwa vipanga wanaofanya vizuri Mitihani ya Sayansi Kidato cha Sita

Kiingereza chako kinatia aibu sana.
mimi sio mwingereza na starajii kuwa mwingerezaxhicho kinatosha.Kwangu kingereza ni.lugha ya tatu .Nsongea ya kwanza kulugha ya pili kiswahili ya tatu kingereza.Huwezi nilinganisha na mwingereza au mmarekani ambaye toka kuzaliwa anaijua lugha moja tu kingereza!

Tanzania tuna vibaraka wachache wa waingereza wanakijua kwelikweli sio utani mimi si kibaraka wa mwingereza
 
mimi sio mwingereza na starajii kuwa mwingerezaxhicho kinatosha.Kwangu kingereza ni.lugha ya tatu .Nsongea ya kwanza kulugha ya pili kiswahili ya tatu kingereza.Huwezi nilinganisha na mwingereza au mmarekani ambaye toka kuzaliwa anaijua lugha moja tu kingereza!

Tanzania tuna vibaraka wachache wa waingereza wanakijua kwelikweli sio utani mimi si kibaraka wa mwingereza
Upuuzi mtupu.
 
Upuuzi mtupu.
Konda msafi, pole sana na Khumbu. Nashukuru ulirudi salama. Wangeua presidential material. Umeanza kutupa kete.
Kuhusu huyo mpuuzi achana naye. Hilo litangazo lake sijui kalipata wapi? Hicho kiingereza kilichotumika ni kile cha form two enzi zile. Chuo Kikuu kinachojiheshimu kutoa waraka dhaifu kiwango hicho!
Hivyo hata kuchangia ni ngumu. Unahisi labda ni fake news. Mleta mada mwenyewe ndiye kama huyo. Seriousness haijui. Kila kitu kwake ni mataga. Tayari analia watu hawachangii. Wengi waliishaapa kutochangia upuuzi wa mpuuzi kama huyo!
 
Konda msafi, pole sana na Khumbu. Nashukuru ulirudi salama. Wangeua presidential material. Umeanza kutupa kete.
Kuhusu huyo mpuuzi achana naye. Hilo litangazo lake sijui kalipata wapi? Hicho kiingereza kilichotumika ni kile cha form two enzi zile. Chuo Kikuu kinachojiheshimu kutoa waraka dhaifu kiwango hicho!
Hivyo hata kuchangia ni ngumu. Unahisi labda ni fake news. Mleta mada mwenyewe ndiye kama huyo. Seriousness haijui. Kila kitu kwake ni mataga. Tayari analia watu hawachangii. Wengi waliishaapa kutochangia upuuzi wa mpuuzi kama huyo!
Sawa kabisa mkuu. Nishaachana naye.
 
Makampuni ya uhasibu na biashara nayo yawe na huruma si tu kusubiri tu kuajiri tu wawe wanatoa na wao scholarships. pia

Lakini kama nchi inajikita zaidi kwenye shortage .Wanasayansi wakali hatuna wa kutosha
Nalo Ni wazo zuri. Ila kwa makampuni ya wabongo Ni ngumu asee, wanataka ready made product.
 
Nalo Ni wazo zuri. Ila kwa makampuni ya wabongo Ni ngumu asee, wanataka ready made product.
Tatizo hapa ndio maana hazikui na ku perform vizuri.

ukitoa scholarship kwa kipanga anaanza kujiona kama part ya kampuni yako Hivyo atajitahidi kuperform vizuri kuku impress na akimaliza aweza kuwa top best .Sasa ukimchukua kama nafasi ya kazi ipo anakuwa na mentality ya perfomance driven na kuendelea kutokuangusha kwa ku perform vizuri kazini

Tofauiñti na kuwinda ready made product .Kupata vipanga sio rahisi .Hata ukimpata hawi na high motivating factor na shukrani kwako

Makampuni makubwa ulaya na marekani hutumia mtindo wa scholarship kupata best minds na performers wanaojiona ni part and parcel ya kampuni ambao hata kuacha kazi huwa wagumu hata kama kampuni inapitia changamoto sababu wanaiona kampuni kama baba mzazi wake.

Sema hawaelewi.Kupata Royal and dedicated workers huanzia kwenye scholarships.Mtu anajiona mtoto wa kampuni
 
Back
Top Bottom