GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
"Napiga marufuku Vituo vya Mafuta ( Petrol Stations ) Kujengwa kiholela Mitaani hasa karibu na Makazi ya Watu" Waziri wa Ardhi Jerry Slaa.
Jerry Slaa ( Waziri wa Ardhi ) umejiamini nini kwa hii Kauli yako wakati Mafia wakubwa walioko nchini na waliomshika Akili na Masikio Qeen Sheba ndiyo kwa 85% wanamiliki hizo Petrol Stations na hawagusiki na yoyote Tanzania hii?
Kuwa makini nao sana Waziri sawa?
Jerry Slaa ( Waziri wa Ardhi ) umejiamini nini kwa hii Kauli yako wakati Mafia wakubwa walioko nchini na waliomshika Akili na Masikio Qeen Sheba ndiyo kwa 85% wanamiliki hizo Petrol Stations na hawagusiki na yoyote Tanzania hii?
Kuwa makini nao sana Waziri sawa?