jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Akizungumza katika makao makuu ya Wizara ya afya huko Mnazi Mmoja Zanzibar, Waziri Mazrui amesema Zanzibar haipo tayari kutumia chanjo yoyote ya Covid hadi pale wataalamu wa afya watakapoitafiti na endapo inafaa.
Mheshimiwa Mazrui pia amesema si kila mgonjwa anayesumbuliwa na matatizo ya upumuaji ana Corona bali magonjwa ya mifumo ya upumuaji yapo ya aina nyingi.
Waziri Mazrui amewaasa wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya ili kuepuka magonjwa hasa ya mlipuko.
Pia, Waziri Mazrui amepokea mpango mkakati wa Shirika la Afya Duniani wa kupambana na ugonjwa wa corela.
Mheshimiwa Mazrui pia amesema si kila mgonjwa anayesumbuliwa na matatizo ya upumuaji ana Corona bali magonjwa ya mifumo ya upumuaji yapo ya aina nyingi.
Waziri Mazrui amewaasa wananchi kuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya ili kuepuka magonjwa hasa ya mlipuko.
Pia, Waziri Mazrui amepokea mpango mkakati wa Shirika la Afya Duniani wa kupambana na ugonjwa wa corela.