johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,922
- 141,887
Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu yuko mubashara TBC na Channel ten akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2020/21
Up dates:
Up dates:
Basi wametoa nenda Channel ten au Star tv!mbona TBC kuna katuni ya Akili
Bajeti huwa ni makisio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha ujao.Bajeti yetu hivi huwa ni cash tsh or prediction ambayo tutakusanya.
Tuliaminishwa kuwa ss ni donar county
nimeikuta channel ten, inasikitisha televisheni ya Taifa inaonesha mambo ya kitoto ila ya chama inaonesha bungeBasi wametoa nenda Channel ten au Star tv!
Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu yuko mubashara TBC na Channel ten akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2020/21
Up dates:
Bajeti huwa ni makisio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha ujao.
Issue ya dona kantre, nadhani 'raia namba 1' alimaanisha sisi unga wa dona ndio chakula chetu kikuu.
Tbc wanafeli sana.Basi wametoa nenda Channel ten au Star tv!
Amevaa barakoa?
Namsikia sasa hivi msemaji wa kambi ya upinzani akilalamika kwamba serikali inaficha takwimu za vifo vinavyotokana na ugonjwa wa corona.anadai eti serikali inazika watu usiku kwa usiku.wapinzani mna uhakika kweli au ndio mnapinga kila kituWaziri wa Afya mh Ummy Mwalimu yuko mubashara TBC na Channel ten akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2020/21
Up dates:
Mzee Mgaya yupo kimya sana. Mwambie tunahitaji ushauri wake. Ana ushauri mzuri sana.Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu yuko mubashara TBC na Channel ten akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2020/21
Up dates:
Cheki tbc 2kuna mbunge wa chadema analalamika usiri wa taarifa za corona na watu kuzikwa usiku, channel ten wanaanza kuchezea camera inaandika no sevice na sauti inakata kata
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku dstv haipo.Cheki tbc 2
Namsikia sasa hivi msemaji wa kambi ya upinzani akilalamika kwamba serikali inaficha takwimu za vifo vinavyotokana na ugonjwa wa corona.anadai eti serikali inazika watu usiku kwa usiku.wapinzani mna uhakika kweli au ndio mnapinga kila kitu
Amevaa na wabunge wote wamevaa!Amevaa barakoa?
Kama last year aliidhinishiwa 100% lakini akaishia kupata only 15% .kuna tofauti gani this time ?! .Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu yuko mubashara TBC na Channel ten akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2020/21
Up dates: