Waziri Ummy Mwalimu na Hamis Kigwangallah, hawajaitendea haki wizara ya Afya!!

Narudi kwenye mada... kwanza suala la chanjo kuisha kwa kweli halikubaliki... chanjo kuanzia miaka 0 mpaka 5 hutolewa ndani ya muda ulio pangwa kitaalamu ....sasa chanjo zinapo isha mnawezaje kuwa na uhakika kwamba walio zikosa hawataathirika? Kwamba ni kweli tunashindwa ku replenish stock ya dawa muhim kama chanjo? Na je mmewachukulia hatua gani wafanyakazi walio sababisha ucheleweshwaji wa dawa hizi muhim unao weza suababisha magonjwa hatari kama polio kuwapata watoto wetu?
 
Waziri Mwaimu na Naibu wake Andrew Bagaile wameshindwa!Uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana!
Wao ni matamko baada ya matamko!Wameshindwa kusimamia dhana nzima ya upatikanaji huduma nafuu kwa mtz
 
Nashindwa kuelewa kuhusu ajira za madaktari kwa hisani ya Kenya...its either mheshimiwa waziri hakushauri vilivyo wakati wa mjadala huo pale Ikulu au kwa sasa aneamua tu kuanzisha kiburi dhidi ya kauli ya Rais.

Kwanza alitakiwa apinge siku ileile ya majadiliano kwa hoja za msingi...mfano bado nchi yetu inahitaji madaktari na sio busara kuwapeleka Kenya wakati vituo vyetu havijajitosheleza au hatujatimiza ilani ya ccm inayotutaka tuajiri madaktari kutoka ndani na nje ya Tanzania...Na kama alitetea basi angetoka clean and clearly kwamba hajakubaliana na uamuzi instead yeye ndiye aliyekuja kutangaza kwa mbwembwr zote.

Pili yeye kama waziri aliahidi utekelezaji wa sera ya bima ya afya kwa wote kufikia septemba 2016 lakini mpaka leo sioni wala kusikia dalili...by the way hii ni mojawapo ya ahadi na sera kwenye ilani ya ccm.
Sisi ni wabaya sana kwenye kuhoji kistaarabu na kulingana na mlichotuahidi...!!

Bado nasisitiza kuwa hawa mawaziri despite all the so called dufficulties in facing Magufuli hawajafanya yale yaliyotarajiwa.
 
Back
Top Bottom