Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,414
Narudi kwenye mada... kwanza suala la chanjo kuisha kwa kweli halikubaliki... chanjo kuanzia miaka 0 mpaka 5 hutolewa ndani ya muda ulio pangwa kitaalamu ....sasa chanjo zinapo isha mnawezaje kuwa na uhakika kwamba walio zikosa hawataathirika? Kwamba ni kweli tunashindwa ku replenish stock ya dawa muhim kama chanjo? Na je mmewachukulia hatua gani wafanyakazi walio sababisha ucheleweshwaji wa dawa hizi muhim unao weza suababisha magonjwa hatari kama polio kuwapata watoto wetu?