Waziri Ummy Mwalimu na Hamis Kigwangallah, hawajaitendea haki wizara ya Afya!!

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,674
Mimi ni mdau wa afya mkorofi!!

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...!hata Mheshimiwa Rais anaupenda msemo huu.

Mimi nilikuwa pro Chadema kabla hawajaniboa kwa kumpokea fisadi na kumfanya mgombea wao wa urais!!

Linapokuja swala la Afya ninasimama kama mwanaafya ninayepigania kwa nguvu na dhati ili sekta hii ikae vizuri.

My observation kwa kipindi hiki cha uongozi wa Magufuli ni kwamba mengi mazuri yamefanyika na pia kuna fursa ya kufanya mengi zaidi iwapo weledi utawekwa mbele.

Nimeobserve kwa muda sasa kati ya mengi ya malalamiko ya wananchi Afya yaweza kuwa namba moja au namba mbili hivyo ni janga la kitaifa.

Sekta hii imeongelewa sana na wanasiasa lakini hakuna mwanasiasa aliyeifanyia jambo muhimu kwa kiasi cha umuhimu wake.

Nilitegemea mawaziri walioteuliwa kwa slogan ya hapakazitu waweze kusimama na kutenda kwa slogan hii.

Nilimtegemea sana @Hkingangwalla kama daktari angeweza kupresent tatizo la msingi la sekta hii kwenye baraza la mawaziri (kwa kumpa nondo waziri) ili tatizo kuu katika sekta ya afya liweze kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.

Badala yake naibu waziri huyu pengine kwa kukosa uzoefu wa mfumo wa afya nchini amejikuta akipambana na kushughulikia dalili za Tatizo katika sekta hii.

Bado najiuliza kwa nini bajeti ya afya imeendelea kuwa ndogo ukilinganisha na bajeti za sekta nyingine kwa miaka yote hii? Hata mwaka huu ambao tumepata Rais mpambanaji?

Najiuliza ni kwa vipi bajeti ya afya iwe ndogo despite kelele nyingi zilizotokea kwenye sekta hii toka Rais Magufuli aingie na kuanza kutumbua majipu ambapo mengi ya majipu yaliyoripotiwa ni kutoka sekta ya afya?(hapa naongelea majipu yaliyotumbuliwa kwenye local goverments)

Kwa maoni yangu napatahisia kuwa waziri wa afya na naibu wake hawajafanya effort yaushawishi katika baraza la mawaziri katika kudai mkate mnono unaoweza kukidhi njaa ya sekta muhimu ya afya.

I wish Muhongo angekuwa waziri wa afya...kwani amepewa mahela mengi ya kufanyia utafiti wa nishati ...ina maana mahela haya yataenda kwa wataalamu wa nje ya nchi!

TUNAKOSOA KITAALAMU NA KIZALENDO!
 
Chukueni documents mlizo nazo za uthibitisho Lowassa fisadi mpelekeni Mahakamani mkishinda arudishe pesa hizo ziingie wizara ya afya .
 
Chukueni documents mlizo nazo za uthibitisho Lowassa fisadi mpelekeni Mahakamani mkishinda arudishe pesa hizo ziingie wizara ya afya .
Rudi kwenye mada kuu...documents ziko kwa mbowe
 
Kwa kifupi hiyo wizara haijatendewa haki kabisa watu waliopo ni siasa tupu na hawajui mambo mengi kuhusu afya hata kigwa mwenyewe
 
Kwa kifupi hiyo wizara haijatendewa haki kabisa watu waliopo ni siasa tupu na hawajui mambo mengi kuhusu afya hata kigwa mwenyewe
Nashukuru kwa kunielewa...kwa kujikita kwenye hoja
 
Shida niyoona watu wanafikiri afya ni kukuta paracetamol na daktari anasubiri
 
Mimi ni mdau wa afya mkorofi!!

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...!hata Mheshimiwa Rais anaupenda msemo huu.

Mimi nilikuwa pro Chadema kabla hawajaniboa kwa kumpokea fisadi na kumfanya mgombea wao wa urais!!

Linapokuja swala la Afya ninasimama kama mwanaafya ninayepigania kwa nguvu na dhati ili sekta hii ikae vizuri.

My observation kwa kipindi hiki cha uongozi wa Magufuli ni kwamba mengi mazuri yamefanyika na pia kuna fursa ya kufanya mengi zaidi iwapo weledi utawekwa mbele.

Nimeobserve kwa muda sasa kati ya mengi ya malalamiko ya wananchi Afya yaweza kuwa namba moja au namba mbili hivyo ni janga la kitaifa.

Sekta hii imeongelewa sana na wanasiasa lakini hakuna mwanasiasa aliyeifanyia jambo muhimu kwa kiasi cha umuhimu wake.

Nilitegemea mawaziri walioteuliwa kwa slogan ya hapakazitu waweze kusimama na kutenda kwa slogan hii.

Nilimtegemea sana @Hkingangwalla kama daktari angeweza kupresent tatizo la msingi la sekta hii kwenye baraza la mawaziri (kwa kumpa nondo waziri) ili tatizo kuu katika sekta ya afya liweze kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.

Badala yake naibu waziri huyu pengine kwa kukosa uzoefu wa mfumo wa afya nchini amejikuta akipambana na kushughulikia dalili za Tatizo katika sekta hii.

Bado najiuliza kwa nini bajeti ya afya imeendelea kuwa ndogo ukilinganisha na bajeti za sekta nyingine kwa miaka yote hii? Hata mwaka huu ambao tumepata Rais mpambanaji?

Najiuliza ni kwa vipi bajeti ya afya iwe ndogo despite kelele nyingi zilizotokea kwenye sekta hii toka Rais Magufuli aingie na kuanza kutumbua majipu ambapo mengi ya majipu yaliyoripotiwa ni kutoka sekta ya afya?(hapa naongelea majipu yaliyotumbuliwa kwenye local goverments)

Kwa maoni yangu napatahisia kuwa waziri wa afya na naibu wake hawajafanya effort yaushawishi katika baraza la mawaziri katika kudai mkate mnono unaoweza kukidhi njaa ya sekta muhimu ya afya.

I wish Muhongo angekuwa waziri wa afya...kwani amepewa mahela mengi ya kufanyia utafiti wa nishati ...ina maana mahela haya yataenda kwa wataalamu wa nje ya nchi!

TUNAKOSOA KITAALAMU NA KIZALENDO!
Meningitis ni ugonjwa mbaya wa ubongo.....
 
Nanyie mmekuwa kama vipofu kwaani nani ambaye anefiti kwenye wizara maana wapo wengi ni vilaza ila wanabebwa na mfumo wa chama chao
 
Kwako umemuona Muhongo
Sekta ya afya haijawah kuwa kipaumbele hapa nchini toka enzi na enzi
Angalau Kikwete alisisitiza juu ya wananchi angalao kwa wingi wapate bima ya afya..
Kwa bajeti ya 250B na madeni ya 133B hata aje nani hapo ni kwamba haiwezekani.
Huwezi endesha gari na mafuta robo tank kuelekea Mwanza wewe....
Achaneni na siasa za kutajana majina...., we have a long way to go as a nation, kwenye kila sekta.
 
Kwa kifupi hiyo wizara haijatendewa haki kabisa watu waliopo ni siasa tupu na hawajui mambo mengi kuhusu afya hata kigwa mwenyewe
Kigwa yupo busy kuwakomoa akina Dr Mwaka! Matatizo ya msingi atayaona muda gani!?
 
Hivi wanapokanusha kuwa hakuna tatizo la upungufu wa dawa kwenye hospital na vituo vya afya huwa wanazungumzia hospital zipi, za India na Marekani wanakoenda kutibiwa wao?
 
Hivi wanapokanusha kuwa hakuna tatizo la upungufu wa dawa kwenye hospital na vituo vya afya huwa wanazungumzia hospital zipi, za India na Marekani wanakoenda kutibiwa wao?
Uko sawa mkuu hata mie najaribu kujiuliza. Wagonjwa wanaeleza hawapati dawa wanaandikiwa wakanunue nje ya hospital alafu yeye anakuja hapa na kanusho la kisiasa. Alafu na mwambia naibu wake amsaudie mana yeye ni classmate wangu
 
Nashukuru kwa kunielewa...kwa kujikita kwenye hoja
Hoja ni ipi mbona umemtaja na EL.... kama hoja ni hiyo ya afya kulikuwa na sbb gani ya kueleza mambo ya cdm na lowasa hapa? Na kama ni fisadi nyie si ndo wenye takukuru, polisi, mahakama ya mafisadi nk... si mmpeleke huko ashitakiwe? Unaleta mada nzuri lakini unaiharibu kwa kuweka vibwagizo visivyo vya msingi kwenye mada....
 
Back
Top Bottom