meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Mimi ni mdau wa afya mkorofi!!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...!hata Mheshimiwa Rais anaupenda msemo huu.
Mimi nilikuwa pro Chadema kabla hawajaniboa kwa kumpokea fisadi na kumfanya mgombea wao wa urais!!
Linapokuja swala la Afya ninasimama kama mwanaafya ninayepigania kwa nguvu na dhati ili sekta hii ikae vizuri.
My observation kwa kipindi hiki cha uongozi wa Magufuli ni kwamba mengi mazuri yamefanyika na pia kuna fursa ya kufanya mengi zaidi iwapo weledi utawekwa mbele.
Nimeobserve kwa muda sasa kati ya mengi ya malalamiko ya wananchi Afya yaweza kuwa namba moja au namba mbili hivyo ni janga la kitaifa.
Sekta hii imeongelewa sana na wanasiasa lakini hakuna mwanasiasa aliyeifanyia jambo muhimu kwa kiasi cha umuhimu wake.
Nilitegemea mawaziri walioteuliwa kwa slogan ya hapakazitu waweze kusimama na kutenda kwa slogan hii.
Nilimtegemea sana @Hkingangwalla kama daktari angeweza kupresent tatizo la msingi la sekta hii kwenye baraza la mawaziri (kwa kumpa nondo waziri) ili tatizo kuu katika sekta ya afya liweze kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.
Badala yake naibu waziri huyu pengine kwa kukosa uzoefu wa mfumo wa afya nchini amejikuta akipambana na kushughulikia dalili za Tatizo katika sekta hii.
Bado najiuliza kwa nini bajeti ya afya imeendelea kuwa ndogo ukilinganisha na bajeti za sekta nyingine kwa miaka yote hii? Hata mwaka huu ambao tumepata Rais mpambanaji?
Najiuliza ni kwa vipi bajeti ya afya iwe ndogo despite kelele nyingi zilizotokea kwenye sekta hii toka Rais Magufuli aingie na kuanza kutumbua majipu ambapo mengi ya majipu yaliyoripotiwa ni kutoka sekta ya afya?(hapa naongelea majipu yaliyotumbuliwa kwenye local goverments)
Kwa maoni yangu napatahisia kuwa waziri wa afya na naibu wake hawajafanya effort yaushawishi katika baraza la mawaziri katika kudai mkate mnono unaoweza kukidhi njaa ya sekta muhimu ya afya.
I wish Muhongo angekuwa waziri wa afya...kwani amepewa mahela mengi ya kufanyia utafiti wa nishati ...ina maana mahela haya yataenda kwa wataalamu wa nje ya nchi!
TUNAKOSOA KITAALAMU NA KIZALENDO!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...!hata Mheshimiwa Rais anaupenda msemo huu.
Mimi nilikuwa pro Chadema kabla hawajaniboa kwa kumpokea fisadi na kumfanya mgombea wao wa urais!!
Linapokuja swala la Afya ninasimama kama mwanaafya ninayepigania kwa nguvu na dhati ili sekta hii ikae vizuri.
My observation kwa kipindi hiki cha uongozi wa Magufuli ni kwamba mengi mazuri yamefanyika na pia kuna fursa ya kufanya mengi zaidi iwapo weledi utawekwa mbele.
Nimeobserve kwa muda sasa kati ya mengi ya malalamiko ya wananchi Afya yaweza kuwa namba moja au namba mbili hivyo ni janga la kitaifa.
Sekta hii imeongelewa sana na wanasiasa lakini hakuna mwanasiasa aliyeifanyia jambo muhimu kwa kiasi cha umuhimu wake.
Nilitegemea mawaziri walioteuliwa kwa slogan ya hapakazitu waweze kusimama na kutenda kwa slogan hii.
Nilimtegemea sana @Hkingangwalla kama daktari angeweza kupresent tatizo la msingi la sekta hii kwenye baraza la mawaziri (kwa kumpa nondo waziri) ili tatizo kuu katika sekta ya afya liweze kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.
Badala yake naibu waziri huyu pengine kwa kukosa uzoefu wa mfumo wa afya nchini amejikuta akipambana na kushughulikia dalili za Tatizo katika sekta hii.
Bado najiuliza kwa nini bajeti ya afya imeendelea kuwa ndogo ukilinganisha na bajeti za sekta nyingine kwa miaka yote hii? Hata mwaka huu ambao tumepata Rais mpambanaji?
Najiuliza ni kwa vipi bajeti ya afya iwe ndogo despite kelele nyingi zilizotokea kwenye sekta hii toka Rais Magufuli aingie na kuanza kutumbua majipu ambapo mengi ya majipu yaliyoripotiwa ni kutoka sekta ya afya?(hapa naongelea majipu yaliyotumbuliwa kwenye local goverments)
Kwa maoni yangu napatahisia kuwa waziri wa afya na naibu wake hawajafanya effort yaushawishi katika baraza la mawaziri katika kudai mkate mnono unaoweza kukidhi njaa ya sekta muhimu ya afya.
I wish Muhongo angekuwa waziri wa afya...kwani amepewa mahela mengi ya kufanyia utafiti wa nishati ...ina maana mahela haya yataenda kwa wataalamu wa nje ya nchi!
TUNAKOSOA KITAALAMU NA KIZALENDO!