Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Jamani kati yangu na Waziri Ummy Mwalimu mmoja lazima hesabu alipata mswaki F.
Nanukuuu
Kwa mijibu wa WHO kila watu 1000 vinahitajika vitanda 5.
Akaja akasema
Dar es salaam ina wakazi mil 6, Je inahitaji vitanda vingapi?
Jibu lake yeye Waziri anasema ni Dar es salaam inahitaji vitanda mil 30 yaani amechukua mil6 mara 5.
Binafsi Ummy Mwalimu nampa nampa F ya hii hesabu.
Labda wakali wa math mseme jibu lake lipo sawa.
Nanukuuu
Kwa mijibu wa WHO kila watu 1000 vinahitajika vitanda 5.
Akaja akasema
Dar es salaam ina wakazi mil 6, Je inahitaji vitanda vingapi?
Jibu lake yeye Waziri anasema ni Dar es salaam inahitaji vitanda mil 30 yaani amechukua mil6 mara 5.
Binafsi Ummy Mwalimu nampa nampa F ya hii hesabu.
Labda wakali wa math mseme jibu lake lipo sawa.