Waziri Simbachawene; Tanzania Hakuna shida ya katiba

mshale21

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
2,049
4,904
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa maendeleo hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya kwa sasa na vyama vya upinzani wanaitaka kwa manufaa yao na si wananchi.

"Shida ya katiba ni ya watu wachache kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya katiba, kwa maana katiba hii iliyopo ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika"
IMG_20210923_140503.jpg
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa maendeleo hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya kwa sasa na vyama vya upinzani wanaitaka kwa manufaa yao na si wananchi.

"Shida ya katiba ni ya watu wachache kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya katiba, kwa maana katiba hii iliyopo ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika" View attachment 1949462
Mpuuzi huyu chawene.
 
Nimegundua kuwa mawaziri wote wa Tanzania ni mama kasuku, anachosema rais na wao ndio wanachokisema na kukirudiai rudia tu. Rais aliposema kuwa hakuna corona Tanzania, viongozi woote wakawa wanaimba hivo hivo. Lakini mara tu Rais Samia aliposema corona ipo Tanzania na viongozi wake woote sasa wanaimba hivyo hivyo. Sasa Rais Samia kasema hakuna haja ya kujadili katiba mpya basi makasuku yoote yanaimba hivyo hivyo hadi siku Rais akibadili mawazo yake na wao makasuka watasema ipo haja ya katiba mpya!
 
Ukishakuwa na elimu ya hapa na pale kazi yako inabaki kusujudu tu uendelee kubaki kwenye teuzi.....mwenye cv yake atudondoshee humu.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa maendeleo hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa katiba mpya kwa sasa na vyama vya upinzani wanaitaka kwa manufaa yao na si wananchi.

"Shida ya katiba ni ya watu wachache kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya katiba, kwa maana katiba hii iliyopo ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika" View attachment 1949462

Jamaa kiraza huyu sijapata kuona
 
Ukishakuwa na elimu ya hapa na pale kazi yako inabaki kusujudu tu uendelee kubaki kwenye teuzi.....mwenye cv yake atudondoshee humu.
Huyo chalii inaonekana yupo vizuri kwenye idara ya ndumba.

Ana degree ya ujanjaujanja ila ametoka mbali mpaka kufikia hapo alipo, huko nyuma alikuwa utingo wa maroli.

Si kwamba hajui ukweli bali anafuata kanuni ya ccm ni lazima uwe mnafki ili uweze kusurvive.

Huyo hakuna asichokijuwa, maisha mabovu ya mtaani anayajuwa vizuri sana tena sana, ni mtoto wa kitaa kabisa, sema ccm inabidi uishi hivyo akili uzifungie kabatini ili mkono uende kinywani.
 
Back
Top Bottom