anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 641
na tunaisoma kweli waziri wako wa elim anapenda sifa sanamm mwenyew najutia apa bora ningeachana na elim tangu la saba.
Ningejiemploy tu kulko sasa iv ninavyoisoma namba.
na tunaisoma kweli waziri wako wa elim anapenda sifa sanamm mwenyew najutia apa bora ningeachana na elim tangu la saba.
Ningejiemploy tu kulko sasa iv ninavyoisoma namba.
Tunaish kwa kuangalia na wenzetu wanafanya nini kwa sababu hii ni nchi inayo shirokiana na wengine tatizo kubwa tanzania hatutaki kubadilika ili tuendane na wakati.Kweli watanzania mlizoea bure ndio maana elimu inakuwa chini kazi yenu kupinga kila jambo jema. Ila ujinga linashabikiwa na kila MTU mwisho tunapata wasomi ******