kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Asilimia 90% ya uendeshaji wa vyuo vikuu nchini unategemea ada za mwanafunzi. Asilimia 98 ya wanafunzi wa walioko vyuo vikuu nchini wanategemea mikopo kutoka board ya mikopo lakini mpaka sasa Board ya mikopo haijatoa ada hizo za wanafunzi kwa vyuo tangu November vyuo vilipofunguliwa kwa kisingizio cha kutafuta wafanyakazi na wanafunzi hewa.
Hali hii imesabababisha vyuo vinavyotengemea ada hizo kuzorota katika kutoa mafunzo.
Mishahara ya wakufunzi na huduma muhimu kwa wanafunzi vinashindikana kutolewa kutokana na vyuo kushindwa kujiendesha.
Kijana wangu amezuiwa kufanya mitihani kama mkakati wa vyuo hivyo kusaka hela za kuendeshea chuo kutoka kwa wazazi wao.
Jamani Ndali utatufanya tukuchukie wewe na wenzio kwa kadhia hii. Wakati unaendelea kuwatafuta wahalifu ukumbuke na wale wena nao huwa wana haki zao.
Do not strengthen the weakest by weakening the strongest.
Hali hii imesabababisha vyuo vinavyotengemea ada hizo kuzorota katika kutoa mafunzo.
Mishahara ya wakufunzi na huduma muhimu kwa wanafunzi vinashindikana kutolewa kutokana na vyuo kushindwa kujiendesha.
Kijana wangu amezuiwa kufanya mitihani kama mkakati wa vyuo hivyo kusaka hela za kuendeshea chuo kutoka kwa wazazi wao.
Jamani Ndali utatufanya tukuchukie wewe na wenzio kwa kadhia hii. Wakati unaendelea kuwatafuta wahalifu ukumbuke na wale wena nao huwa wana haki zao.
Do not strengthen the weakest by weakening the strongest.

