mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Unapoona profesa anakwepa kujibu swali hapo ujue MAJI yamezidi unga! aliulizwa kuwa hiyo idadi ya wanafunzi ambao mtawapa mkopo maana yake ni uwezo wa serikali umeishia hapo au ni kwamba waliobaki hawana vigezo? Hilo swali kalisepa!
Unapoona profesa anaongea with zero confidence hapo maji yamezidi unga! Wote tunaijua confidence ya profesa, lakini kwa suala hili amekuwa mdogo kuliko piliton! Hakuthubutu kuitazama camera ili awatazame watazamaji watarajiwa machoni!
Suala hili linahitaji utashi toka mamlaka za juu! Huyu mama tumsamehe bure!
Serikali iwe wazi! kama kwenye gudulia hamna kitu semeni! Japo watanzania watajiuliza kulikoni bomberdier zilipewa kipaumbele kuliko elimu?
Bomberdier Nazitaka sana ila elimu naitaka zaidi!
Unapoona profesa anaongea with zero confidence hapo maji yamezidi unga! Wote tunaijua confidence ya profesa, lakini kwa suala hili amekuwa mdogo kuliko piliton! Hakuthubutu kuitazama camera ili awatazame watazamaji watarajiwa machoni!
Suala hili linahitaji utashi toka mamlaka za juu! Huyu mama tumsamehe bure!
Serikali iwe wazi! kama kwenye gudulia hamna kitu semeni! Japo watanzania watajiuliza kulikoni bomberdier zilipewa kipaumbele kuliko elimu?
Bomberdier Nazitaka sana ila elimu naitaka zaidi!