johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,022
Waziri wa Habari Nape Nnauye amelaani Utamaduni wa kuwashambulia Waandishi wa Habari wakiwa wanatimiza majukumu yao
Nape amewaagiza Polisi kuwasaka Watu waliowashambulia Waandishi wa habari wa Mwananchi jana kule Temeke kwani Mazingira yanajulikana
Waziri kaongea kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica Njema!
Nape amewaagiza Polisi kuwasaka Watu waliowashambulia Waandishi wa habari wa Mwananchi jana kule Temeke kwani Mazingira yanajulikana
Waziri kaongea kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica Njema!