johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,027
Waziri wa fedha Mwigullu Nchemba amesema Watanzania wasiogope Nchi inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa
Source: Mwananchi
Sabato njema 😄
Source: Mwananchi
Sabato njema 😄
Mna uwezo wa kulipa mnatulaza gizani bila umeme?Waziri wa fedha Mwigullu Nchemba amesema Watanzania wasiogope Nchi inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa
Source: Mwananchi
Sabato njema 😄
kwanini sasa ukope kama unayo hizo hela .. Think tank za chama chawala ziko hoi mnoWaziri wa fedha Mwigullu Nchemba amesema Watanzania wasiogope Nchi inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa
Source: Mwananchi
Sabato njema
Mnyaturu 😂Huyu si alisema madeni hayatuhusu watz na akaongeza hakuna mtz hata mmoja atakayegongewa mlangoni mwake kulipa hilo deni.
kwanini sasa ukope kama unayo hizo hela .. Think tank za chama chawala ziko hoi mnoWaziri wa fedha Mwigullu Nchemba amesema Watanzania wasiogope Nchi inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa
Source: Mwananchi
Sabato njema
Mali kwa Malikwanini sasa ukope kama unayo hizo hela .. Think tank za chama chawala ziko hoi mno
Yaan unakopa 1000 unarudisha 1100 afu unajiita piechidi bila kujali unachokilipa zaid.Mali kwa Mali
Siku zote nakumbuka zile stages of development s,kwamba ukiwa na maendeleo makubwa kuliko uwezo wako wa kumenage/kusimamia ni KAZI bure.chukua mfano mdogo makampuni ya mabus ,Makampuni mengi tuliokuwa tunayafahamu yalifilisika baada ya kukopa kupitiliza na hatimaye yakashindwa kusimamia Makampuni hayo kutokana na ukubwa wa Kampuni,nani asiyekumbuka"Scandaviani buses,Fresh ya Shamba ,Sleeping coach na mengineyo mengi,Ogopa sana "over development"tutake note,wale wanaotukopesha wanafanya biashara ,wanapenda biashara zao na sio kwamba wanapenda maendeleo yetu.wao Wana uhakika wa kuvuna faida zao asilimia mia moja.na hatta tukishindwa kulipa watakamata Mali za Wajukuu wetu .Nasisitiza tukope kwa kiasi na tuwekeze kwenye miradi tunayoimudu."quick win'..Duuh.
Kwahiyo ni lazima tukope hata kama hatuhitaji kukopa??
Kwa maelezo haya nahitimisha kwamba mabeberu huwa wanawalazimisha viongozi wetu kukopa.
Tangu tupate uhuru, hatuja wahi kuwa na Waziri wa fedha kiazi kama huyu.Waziri wa fedha Mwigullu Nchemba amesema Watanzania wasiogope Nchi inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa
Source: Mwananchi
Sabato njema
Mshenzi kabisa.Mna uwezo wa kulipa mnatulaza gizani bila umeme?
Hili ndio swali la kujiuliza sasa....kwanini sasa ukope kama unayo hizo hela .. Think tank za chama chawala ziko hoi mno