Usihangaike na hilo nyumbu mkuuHujui kama passport zinatolewa wizara ya mambo ya ndani idara ya uhamiaji ambayo mwigulu nchemba ndo waziri wake? Sasa mambo ya nje inahusikaje tuhabarishe,, yani nyie bana ni kupinga kila kituuu mnatia aibu
hahahaHujui kama passport zinatolewa wizara ya mambo ya ndani idara ya uhamiaji ambayo mwigulu nchemba ndo waziri wake? Sasa mambo ya nje inahusikaje tuhabarishe,, yani nyie bana ni kupinga kila kituuu mnatia aibu
Passport zipo kwa mwigulu siyo maige. Jipange tena acha kukurupuka."Mwiguru" ana mamlaka gani ya kupiga marufuku safari za watu.
Mambo ya nje ndio wangenyanganya passport zao ndio ningewaelewa.
Haya tuambie mwiguru ndio nani.
Kamanda haya mambo Baba wa Taifa alikatazaJoh, twi lola,
Ejo mbombo
"Mwiguru" ana mamlaka gani ya kupiga marufuku safari za watu.
Mambo ya nje ndio wangenyanganya passport zao ndio ningewaelewa.
Haya tuambie mwiguru ndio nani.
Hata mzee wa vijisenti?Wazir wa mambo ya ndan kapiga marufuku safal za nje kwa watumish wote waliotajwa kwenye sakata la mchanga
Habal zaid nakuletea
wewe jamaa, mambo ya nje ndo wanatoa passport. Tanzania kuna watanzania duuu
Mwigulu ni Waziri wa Mambo wa Ndani ambaye Polisi na Uhamiaji wapo chini yake"Mwiguru" ana mamlaka gani ya kupiga marufuku safari za watu.
Mambo ya nje ndio wangenyanganya passport zao ndio ningewaelewa.
Haya tuambie mwiguru ndio nani.
Bilashaka ushapiga K-Vant, maana huu sio uandishi wakoJoh, twi lola,
Ejo mbombo
Hujui kuwa uhamiaji ipo chini ya Mwigulu ?"Mwiguru" ana mamlaka gani ya kupiga marufuku safari za watu.
Mambo ya nje ndio wangenyanganya passport zao ndio ningewaelewa.
Haya tuambie mwiguru ndio nani.