The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Mleta thread inabidi aweke source. Otherwise ni majungu tu. Haiingii akilini kwamba Prof Mwandosya hakujua uteuzi wake. Lazima alifahamishwa kabla. Kama alikubali na wakati hawezi kufanya kazi, hiyo ndo tamaa ya fedha na madaraka sasa. Kwenye uwaziri kuna Chenji ya kumwaga ndo maana hakukataa.
Bongo kila kitu kinawezekana. Kwa vile tangu tuzaliwe hatujawahi sikia kuna mtu kakataa uteuzi na CCM ndiyo zao hizo. Inawezekana kabisa JK akawateua bila kuwataarifu (existing ones) maana akili yao ni maslahi na ulaji zaidi kazi na uwajibikaji.