Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

unapokaa unasikia wabunge wanasema watoto wetu darasani wafundishwe kiswahili maana ndio lugha ya taifa ndio uone hii nchi tunapokwenda..kwa dunia ya sasa hivi shuleni watoto wetu inabidi tuanze kuwafundisha masomo yote kiingereza maana dunia imebadilika na imesogea na wakati sie watanzania tumebaki nyuma..alafu wakenya wakija kutuchukulia kazi zetu mnalalamika...bunge la kenya na uganda linaendeshwa kiingereza kwanini la kwetu linaendeshwa kiswahili? juzi juzi wakati wanachagua wabunge wa afrika mashariki niliangalia jinsi hao candidates walivyokua wanajielezea kiingereza sikuamini nilichokua nasikia...na hao ni wasomi wengine ni doctors/professors...wakenya na nchi zingine wanatucheka sana..inabidi tubadilike tuanze kufundisha kiingereza kuanzia darasa la kwanza na iwe kila mahali mpaka vijijini...ukiangalia private schools zinafundisha in english na its such a joy unapoona watoto wadogo wana miaka 5 lakini wanaongea good english

hii iwe moja ya changamoto kwako wewe mheshimiwa visiwa vya pemba na zimbabwe
 
Embu tuwe makini lakini na pia tujiulize yafuatayo ( Nwe jiulize yafuatayo)

1. Ni kwanini Mulugo hakufuata aliyoandikiwa na kupewa katika ppt hadi atoe kichwani mwake?? alitaka ule umma umueleweje?? kuwa anajua sana na haitaji kusoma au??

2. Yeye kama mdau na mwenye dhamana ya elimu nchini kwetu alitaka kuutangazia nini ule umma wa dunia??

Makosa MAKUBWA kuliko hata lile la yule mtoto aliyekojolea kuran!!

A. Kusema Tanzania " was formed in ONE NINETEEN SIXTY FOUR" yaani 11964!!! (huyo ndiye waziri ambaye pia alikuwa mwalimu!!)

B. Kusema Tanzania was formed...by UNIFYING islands of ZIMBABWE and PEMBA!!! ( yaani visiwa vya Zimbabwe na Pemba. Eti "unifying"!!! hiki ndio nini??

C. Kusema Tanzania tuna "Pre primary school ya miaka miwili" huu ni uongo dhahiri shahiri!! Hatuna kitu kama hiki!!

D. Kusema NACTE inatoa Masters na Doctorate degree!!!

Hivi ni baadhi tu ya yaliyomo katika presentation yake na bado tunasema ni "SLEEP OF A TONGUE"

Tunahangaika kumpeleka MTOTO aliyekojolea Kuran, wakati kuna MIBABA inatuharibia nchi na tunaiacha!!

Hivi Mugabe akisikia itakuaje??


Enzi za mwalimu, huyu wakati anarudi tu na kutua Airport DIA...moja kwa moja alikuwa anakwenda UKONGA/SEGEREA au KEKO baada ya kula viboko kumi na viwili wakati anaingia na kumi na viwili wakati wa kutoka akamuoneshe mke wake!!
 
kili mkuu vboko 12 wakati anaingia na vboko 12 wakati wa kutoka akamsimulie mkewe....
 
tunaomba serikali ya JK iende zimbabwe ikamng'oe mugabe madarakani kwa sababu kumbe zimbabwe ni part ya tanzania siku zote hizi tumedanganywa tunaomba waturudishie kisiwa chetu
 
Nafuu ya Mulugo kwa sasa ni kujiuzulu uwaziri. hana sifa za kuwa hapo alipo hata kama wengine wanavyodai ni mchapa kazi
 
i hate to say this..but mh kachemsha kwenye jukwaa la kimataifa. mbaya zaidi ni n/waziri mwenye dhamana ya kutuelimisha na sio 'kutupotosha'...... hata kama nimelala usingizini na njozi nzito cwezi kusema tz imeungana na z'bwe.. lol!
 
Nakumbuka kitabu cha mfalme Juha, ambaye kwenye baraza lake aliteua waziri mkuu juha na viongozi wengine wote maduwanzi, halafu Mfalme Juha alibaki kuwa mwamuzi wa kila kitu.
Mfumo huo huo unaendelea kutumika
 
Embu tuwe makini lakini na pia tujiulize yafuatayo ( Nwe jiulize yafuatayo)

1. Ni kwanini Mulugo hakufuata aliyoandikiwa na kupewa katika ppt hadi atoe kichwani mwake?? alitaka ule umma umueleweje?? kuwa anajua sana na haitaji kusoma au??

2. Yeye kama mdau na mwenye dhamana ya elimu nchini kwetu alitaka kuutangazia nini ule umma wa dunia??

Makosa MAKUBWA kuliko hata lile la yule mtoto aliyekojolea kuran!!

A. Kusema Tanzania " was formed in ONE NINETEEN SIXTY FOUR" yaani 11964!!! (huyo ndiye waziri ambaye pia alikuwa mwalimu!!)

B. Kusema Tanzania was formed...by UNIFYING islands of ZIMBABWE and PEMBA!!! ( yaani visiwa vya Zimbabwe na Pemba. Eti "unifying"!!! hiki ndio nini??

C. Kusema Tanzania tuna "Pre primary school ya miaka miwili" huu ni uongo dhahiri shahiri!! Hatuna kitu kama hiki!!

D. Kusema NACTE inatoa Masters na Doctorate degree!!!

Hivi ni baadhi tu ya yaliyomo katika presentation yake na bado tunasema ni "SLEEP OF A TONGUE"

Tunahangaika kumpeleka MTOTO aliyekojolea Kuran, wakati kuna MIBABA inatuharibia nchi na tunaiacha!!

Hivi Mugabe akisikia itakuaje??


Enzi za mwalimu, huyu wakati anarudi tu na kutua Airport DIA...moja kwa moja alikuwa anakwenda UKONGA/SEGEREA au KEKO baada ya kula viboko kumi na viwili wakati anaingia na kumi na viwili wakati wa kutoka akamuoneshe mke wake!!

ndugu usiumize kichwa, aibu ya aliyemteua, Hebu fikiria kwa akili ya Kawaida Rais anaweza kuiambia dunia ati kuwa hata yeye hajui umasikini wa nchi yake unatoka wapi?

Ndo tulivyo, ukisoma CV ya Bw. Mulugo huo ualimu sijui alisomea wapi na mwaka gani!!
 
Anachekacheka kwakua anatoa ufafanuzi kwa 'Wadanganyika' angekua anatoa ufafanuzi kwa wale walioshikilia pumzi ya serikali a.k.a 'wafadhili/development patners' asingejichekesha-chekesha
 
Napenda kwenda tofauti na hoja za wana jf wengi wakimpondea mulugo kwa kosa moja ,,sishangai kwa sababu wengi wenu mna elimu ya darasani ambayo inawaambia ukikosea haufai ila hiyo sio applicable ktk daily life tunajifunza kutokana na makosa.

Ndio maana najitoa kumpongeza waziri wangu na waziri wenu pia kwa juhudi na bidii zake,ni wangapi kati yenu hapa jf mna elimu zaidi ya mulugo? je mmefanya nini kwa ajili ya nchi yenu?sanasana wenye elimu mnaishia kuajiliwa na makampuni na huku nje mnamuachia nani? hebu fikiria kutoka kuwa mwalimu mpaka kuwa waziri,,lakini kati ya wanajf kuna wenye masters je ni kitu gani cha msingi mlichoifanyia taifa lenu?zaidi ya ubinafsi wa kununua ka rav 4 kako na nyumba yako?

Ni nani atakayethubutu kusimama na elimu yake dhidi ya mambo anayoyaona hayafai ktk nchi yake?ni nani atakayethubutu kuacha mshahara wake na kutetea haki za walimu,madaktari,private sector? ni nani mwenye elimu yake ambaye atasimama na kuacha mshahara wake ili kuleta suluhu baina ya waislam na wakristo? Ni nani mwenye elimu ambaye atathubutu kuacha mshahara wake na kuanzisha makampuni ya kuchimba maliasili za tanzania kama migodi ya dhahabu,almasi etc(asilimia 90% ya wanaomiliki migodo midogo ya machimbo tanzania hawana elimu ya chuo),ni nani mwenye elimu yake na atathubutu kufufua mashirika yaliyokufa ya umma?

Utasema rushwa lakini angalia shirika la UDA ambalo limechukuliwa na robert kisena ambaye elimu yake ni kidato cha sita na ana makampuni zaidi ya saba.

TUAMKE WATANZANIA,USIINGOJE SERIKALI,SERIKALI NI WEWE.AMKA
 
Naona anamaanisha kosa alilolifanya mulugo ni dogo sana compared na kazi anayoifanya ya kuongoza taifa ktk wizara aliyopo
 
Kwa mitazamo hii!! Tanzania baadoooo sanaaa! yaani unamtetea huyu waziri wako kilaza!Kha!!! lol! the guy is not fit for a purpose!! period!!!
 
Tuacheni kukaa na kuangalia udhaifu wa mr. Mulugo hebu tutafute mazuri aliyoyatenda halafu tuje tufanye uwiano na hicho kilichotendeka.nawaalika great thinkers wenye kujua mazuri ya mr. Mulugo toka aingie madarakani
 
Back
Top Bottom