Inaelekea Amin hana uwezo wa kujibu.Madai mazito haya ya Mbilinyi na vyeti bandia vya Mulugo@Amim
Mimi nilikuwa ni mchunga ng'ombe wa mama Machibya. Nilipata kakibanda kangu pale kwa kina Watende, wale MabubuLol!!!!I missed this...!!!Bujibuji lazima ulikuwa Iyunga au MTC.....enzi za hao wote uliowataja hapo juu....tena usinikumbushe Kajange...!!!hahahaa..Yule babu alikuwa hakubali tukatize lile geti....!!but tulikuwa tunakula kona vilevile...usicheze NA adolescence bwana....!!Lol
all i can say is..duh,..tuliomba rais tukapewa pimpMkuu kuna huu uhusiano ambao ni kweli kabisa wala si habari ya kutunga.
JK.....Mulugo......Mary Mwanjelwa
Ni kwamba Mulugo ni kuwadi wa JK kwa Mary Mwanjelwa na malipo ya kazi yake ya ukuwadi ni kupewa huo unaibu waziri vinginevyo hana sifa kabisa na cheo hicho.
Ndugu Amim kwa ujumla wake naanza mchakato wa kukupeleka mahakamani ili kutengua ubunge wako baadaya kubainika kuwa ulifanya udanganyifu kwa umma juu ya elimu yako, precedent ya kesi ya Kihiyo mbunge wa Temeke iko wazi na itasimama dhidi yako na muhimu sasa ni kukusanya nyaraka muhimu juu ya education background yako toka primary hadi OUT kama ni kweli na any relevant clues.UMEKWISHA ,ZIMBABWE NA PEMBA.acheni udwanzi wenu hapa
jamani tuliosomea majina ya wenzetu darasa la saba tupo wengi sana, tukianza kutimuana watabaki wachache! sana, maana kufauru miaka hiyo ilikuwa mbinde - wilaya nzima watu 12 tu duh.
tatizo ni kubwa sana hasa secta ya ulinzi na usalama kule ndiyo balaa.