Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,327
- 13,637
Wajibu wa Serikali na hizo balozi huko nje ni wa nini hasa kama wanashindwa kusaidia raia wakati wa shida.Hii ndiyo sababu kubwa ya serikali kukataa kutoa pasipoti kwa kila mwananchi. Serikali inajua raia wake wakipata matatizo kwenye nchi za watu, haina uwezo wa kuwasaidia.