Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,587
- 18,984
neno dhaifu kwa kingereza ni nini?
they will never listen!!!!Waziri Wa Fedha na Mipango., Dr. Phillip Mpango amelivuruga Bunge. Ni kama amesababisha vurugu zisizo na tija Bungeni. Ni baada ya 'kulitumia' Bunge kupiga kampeni kwa chama chake cha CCM kuelekea Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa, Oktoba mwaka huu.
Kiukweli, Waziri Mpango amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali iliyosheheni matumaini makubwa kwa weledi na umakini mkubwa. Ameiwasilisha kwa kuelewekavyema na kwa umahiri mkubwa. Lakini, alipoingiza 'kampeni kwa CCM' aliteleza.
Alianza vyema kutaja sifa zinazofaa kuwepo kwa viongozi wetu na wanaotaka kuwa viongozi wetu. Sifa ya kwanza hadi ya tisa zilikuwa ni sifa za jumla na njema Sana. Ya kumi iliyoleta mtafaruku ilianza vyema kuwa atokane na chama chenye kupigania maslahi ya taifa. Kuitaja CCM ndiyo kuteleza kwenyewe.
Kimsingi, Waziri Mpango hakupaswa kulifanya Bunge kuwa jukwaa LA kampeni kwa CCM. Alisababisha kelele na vurugu zisizo na maana Bungeni. Bunge Si uwanja Wa kampeni Wa chama chochote! Aliteleza na asamehewe.
Amerudi Mara Nyingi SanaHakuteleza bali sehemu ya mkakati wa CCM kushinda uchaguzi kwa sababu zile Tisa zingine hakuna mwanachama wao yeyote anafit masharti hayo na kushinda.
Nijuavyo Mimi ni Weak Mkuu.neno dhaifu kwa kingereza ni nini?
CCM kila walipo wao ni kampeni tu kama CCM inapendwa kwanini mpige kampeni kila penye mkusanyiko?Waziri Wa Fedha na Mipango., Dr. Phillip Mpango amelivuruga Bunge. Ni kama amesababisha vurugu zisizo na tija Bungeni. Ni baada ya 'kulitumia' Bunge kupiga kampeni kwa chama chake cha CCM kuelekea Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa, Oktoba mwaka huu.
Kiukweli, Waziri Mpango amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali iliyosheheni matumaini makubwa kwa weledi na umakini mkubwa. Ameiwasilisha kwa kuelewekavyema na kwa umahiri mkubwa. Lakini, alipoingiza 'kampeni kwa CCM' aliteleza.
Alianza vyema kutaja sifa zinazofaa kuwepo kwa viongozi wetu na wanaotaka kuwa viongozi wetu. Sifa ya kwanza hadi ya tisa zilikuwa ni sifa za jumla na njema Sana. Ya kumi iliyoleta mtafaruku ilianza vyema kuwa atokane na chama chenye kupigania maslahi ya taifa. Kuitaja CCM ndiyo kuteleza kwenyewe.
Kimsingi, Waziri Mpango hakupaswa kulifanya Bunge kuwa jukwaa LA kampeni kwa CCM. Alisababisha kelele na vurugu zisizo na maana Bungeni. Bunge Si uwanja Wa kampeni Wa chama chochote! Aliteleza na asamehewe.
Iogope mzee njaa haifai kabisa. Inashauriwa hata adui yako muombee njaa tu utakuwa umemmaliza.AISEEEE
Aombe hadharani tumsikie sio wewe umsemeeAmeomba msamaha?? Amesema ameteleza?
Umeinamishwa? kwani bungeni wote waliopo ni kutokana na vyama? au wewe ni miongoni.mwa.wapumbavu wanaosemwa na Magu?Ulitegemea asemeje wakati yeye ni mwana CCM? Ikumbukwe kwamba kila mbunge yupo bungeni kwa tiketi ya chama chake cha Siasa.
Isitoshe, katika kipindi cha utawala wa Rais Magufuli, imedhihirika wazi kwamba chama chenye kupigania maslahi ya taifa ni CCM, vingine ni SACCOS, vyama vya mifukoni au vina sura ya udini, ukabila na ukanda.
This is against freedom of will and wish. You are violating the right of othersKwangu, kuvaa wigi ni sababu ya kunisukuma mbali na mvaaji. Hata kucha bandia na kujichubua pia Mkuu.
Hoja na jibu lako yanadhihirisha kiwango chako cha ustaarabu. AsanteUmeinamishwa? kwani bungeni wote waliopo ni kutokana na vyama? au wewe ni miongoni.mwa.wapumbavu wanaosemwa na Magu?
Pole sana ndugu; naomba unisameen sijui ata nimeandikaje hapo.Hoja na jibu lako yanadhihirisha kiwango chako cha ustaarabu. Asante
Hayo maneno yataendelea kusemwa kama yalivyo mpaka kihama labda matumbo yenu yewe yamechanika.Ulitegemea asemeje wakati yeye ni mwana CCM? Ikumbukwe kwamba kila mbunge yupo bungeni kwa tiketi ya chama chake cha Siasa.
Isitoshe, katika kipindi cha utawala wa Rais Magufuli, imedhihirika wazi kwamba chama chenye kupigania maslahi ya taifa ni CCM, vingine ni SACCOS, vyama vya mifukoni au vina sura ya udini, ukabila na ukanda.