Waziri Mpango 'ameteleza', asamehewe

Waziri Mpango 'ameteleza', asamehewe

zile pumba za mwishomwisho amekiri kuwa ame copy kutoka kwa JPM, kwakifupi zile sifa za mgombea bora ni maoni ya JPM nayeye ameagizwa/ameamriwa akayaseme, kwahiyo tumsamehe bure Dr. Mpango amelazimika kuyasema yale.
 
Yeye alipaswa kujielekeza kwenye hotuba ya bajeti aliyokuwa anaisoma.
 
Huyu si Dokta msomi ambaye naye ameokotwa mavumbini kama alivyookotwa Kabudi
 
Back
Top Bottom