Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Mbaya hii
Ndo maana umekaa kiu-udaku udakuBora kusoma kiu kuliko Tz Daima
Waziri mkuu aliyejiuzuruNi nani sasaa??
Machafuko yatoke wapi ? Acha ukuda weweHiii siyo haki wala sheria kabisa wamevunja katiba wakaisome vizuri anatakiwa kulindwa na serikali mpaka kufa kwake wajiangarie sana watasababisha machafuko
Nami nilijua hata akihamia upinzani bado ni kiongozi wa kitaifa kwa hiyo tulitegemea tuwe tunamuona kwenye matukio ya kitaifa kama lile la kuapishwa mh Rais lakini ajabu hatumuoni.he!!! nilijua ulinzi upo kisheria kwa wakuu wastaafu, au ukienda upinzani ulinzi unaondolewe 'automatik? tupeni ufahamu
Serikali ya Magufuli inamchukia vipi Lowasa wakati mnasema Lowasa ndio aliemfanya Magufuli awe Rais?Msemaji wa Serikali Yupo wapi.
Kwahiyo sumaye naye ataondolewa Ulinzi??
SERIKALI YA MAGUFULI INAMCHUKIA LOWASSA
KAMA HII HABARI YA KWELI!
Gazeti limeandika "Lowassa aondolewa ulinzi"Kwani kaondokewa Ulinzi au kaondokewa mlinzi wake ambaye ni wa Serikali? Nadhani aliyeondokewa hapo ni Aloyce Tendewa ila Walinzi wengine bado wapo.
Lile la Esrcow linalindwa na nani?fisadi analindwa na ulinzi wa serikali?
ilibidi sasa hivi awe analindwa na askari magereza ukonga.
Magufuli ana roho ya revenge kuliko jk,hata bomoa bomoa ya dsm ni kwa vile watu wa dar tumemnyima kura
Waziri mkuu aliyefukuzwa.Ni nani sasaa??