Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,929
- 6,030
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema hakuna mtu anayekufa kwa njaa Gaza na kwamba Israel haijawahi kuwa na sera ya kuwanyima Wapalestina chakula
“Tunaruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza wakati wote wa vita la sivyo, kusingekuwepo na Wapalestina Gaza,” alisema Netanyau
Lakini Rais wa Marekani, Donald Trump, hakubaliani naye. Akizungumzia picha zinazoonyesha watoto waliokonda sana, Trump alisema: “Watoto wale wanaonekana wana njaa sana.” Kauli hiyo imekuja wakati ambapo mashinikizo ya kimataifa yamelazimisha Israel kutangaza kusitisha mapigano kwa muda mfupi na kuruhusu misaada zaidi kuingia Gaza. Hata hivyo, wakaazi wa Gaza wanasema hali haijabadilika; bado misaada haitoshi au haifiki kabisa. Umoja wa Mataifa umeeleza hatua hizi kama ongezeko la wiki moja la msaada, lakini Israel haijaweka wazi ni kwa muda gani utaratibu huo utaendelea
Israel inaishutumu Hamas kwa kuzuiwa kwa misaada hiyo, ikidai kuwa wapiganaji wake wanaiba misaada kwa ajili ya kuendesha utawala wao
Umoja wa Mataifa unakanusha madai hayo, ukisema wizi wa misaada si wa kawaida na huwa unadhibitiwa pale misaada ya kutosha inapopelekwa. Changamoto nyingine ni kuwa misaada inapowasili kwenye mpaka wa Gaza, U.N. inahitaji ruhusa ya kijeshi ya Israel kuichukua – lakini zaidi ya nusu ya maombi ya ruhusa hizo yamekataliwa katika miezi mitatu iliyopita. Iwapo magari ya U.N. yakifanikiwa kuichukua, mara nyingi hukumbana na misururu ya watu wenye njaa na makundi yenye silaha yanayoiteka na kuchukua chakula. Polisi wa kiraia waliokuwa wakiwapa ulinzi, walioko chini ya Hamas, wamesitisha kazi hiyo baada ya kushambuliwa kwa mabomu na Israel
=====
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu says no one in Gaza is starving: “There is no policy of starvation in Gaza, and there is no starvation in Gaza. We enable humanitarian aid throughout the duration of the war to enter Gaza – otherwise, there would be no Gazans.”
President Donald Trump on Monday said he disagrees with Netanyahu’s claim of no starvation in Gaza, noting the images emerging of emaciated people: “Those children look very hungry.”
After international pressure, Israel over the weekend announced humanitarian pauses, airdrops and other measures meant to allow more aid to Palestinians in Gaza. But people there say little or nothing has changed on the ground. The U.N. has described it as a one-week scale-up of aid, and Israel has not said how long these latest measures would last
Source: AP News, DW & CNN
“Tunaruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza wakati wote wa vita la sivyo, kusingekuwepo na Wapalestina Gaza,” alisema Netanyau
Lakini Rais wa Marekani, Donald Trump, hakubaliani naye. Akizungumzia picha zinazoonyesha watoto waliokonda sana, Trump alisema: “Watoto wale wanaonekana wana njaa sana.” Kauli hiyo imekuja wakati ambapo mashinikizo ya kimataifa yamelazimisha Israel kutangaza kusitisha mapigano kwa muda mfupi na kuruhusu misaada zaidi kuingia Gaza. Hata hivyo, wakaazi wa Gaza wanasema hali haijabadilika; bado misaada haitoshi au haifiki kabisa. Umoja wa Mataifa umeeleza hatua hizi kama ongezeko la wiki moja la msaada, lakini Israel haijaweka wazi ni kwa muda gani utaratibu huo utaendelea
Israel inaishutumu Hamas kwa kuzuiwa kwa misaada hiyo, ikidai kuwa wapiganaji wake wanaiba misaada kwa ajili ya kuendesha utawala wao
Umoja wa Mataifa unakanusha madai hayo, ukisema wizi wa misaada si wa kawaida na huwa unadhibitiwa pale misaada ya kutosha inapopelekwa. Changamoto nyingine ni kuwa misaada inapowasili kwenye mpaka wa Gaza, U.N. inahitaji ruhusa ya kijeshi ya Israel kuichukua – lakini zaidi ya nusu ya maombi ya ruhusa hizo yamekataliwa katika miezi mitatu iliyopita. Iwapo magari ya U.N. yakifanikiwa kuichukua, mara nyingi hukumbana na misururu ya watu wenye njaa na makundi yenye silaha yanayoiteka na kuchukua chakula. Polisi wa kiraia waliokuwa wakiwapa ulinzi, walioko chini ya Hamas, wamesitisha kazi hiyo baada ya kushambuliwa kwa mabomu na Israel
=====
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu says no one in Gaza is starving: “There is no policy of starvation in Gaza, and there is no starvation in Gaza. We enable humanitarian aid throughout the duration of the war to enter Gaza – otherwise, there would be no Gazans.”
President Donald Trump on Monday said he disagrees with Netanyahu’s claim of no starvation in Gaza, noting the images emerging of emaciated people: “Those children look very hungry.”
After international pressure, Israel over the weekend announced humanitarian pauses, airdrops and other measures meant to allow more aid to Palestinians in Gaza. But people there say little or nothing has changed on the ground. The U.N. has described it as a one-week scale-up of aid, and Israel has not said how long these latest measures would last
Source: AP News, DW & CNN