CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Jana Waziri mkuu Pinda alisema posho ni halali kwa vile zipo kisheria. You might be right, but there are good and bad laws!!! Sheria ipo lakini ni sheria mbaya kwa vile inahalalisha WIZI wa fedha za Umma. Nilitegemea wewe uwe msitari wa mbele kuikataa sheria hiyo. It is a pity that ukaiunga mkono.
Kibaya sheria hiyo mbaya ni ya kuwanufaisha kundi dogo la watu!!! Wasiokuwa na upenyo wa kutunga sheria mbaya kuwanufaisha wafanyeje na kila mmoja ana njaa? LAZIMA WATUMISHI WA UMMA WAIBE KAMA UNAVYOSIKIA HALMASHAURI ZA WILAYA/MIJI ETC. WEWE NA BUNGE MNAJITUNGIA SHERIA YA KUIBA ETI IMEHALALISHWA, WENGINE WAFANYEJE????"
NCHI KWISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kibaya sheria hiyo mbaya ni ya kuwanufaisha kundi dogo la watu!!! Wasiokuwa na upenyo wa kutunga sheria mbaya kuwanufaisha wafanyeje na kila mmoja ana njaa? LAZIMA WATUMISHI WA UMMA WAIBE KAMA UNAVYOSIKIA HALMASHAURI ZA WILAYA/MIJI ETC. WEWE NA BUNGE MNAJITUNGIA SHERIA YA KUIBA ETI IMEHALALISHWA, WENGINE WAFANYEJE????"
NCHI KWISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!