Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Haki ya na huyu Mzee ni taahira na ninashangaa sana kusikia eti naye anautaka u-Rais! Yaani watu wanatumia mabavu kupora haki za watu? Hebu raia wapige mvua ya nyumbani kwake mpaka ahame MTAA! Hui neo labda itamwamsha ajue kwamba RAIA wamekasirika! Tutaona Oktoba kama atahama MTAA, jimbo, wilaya, mkoa na nchi kum'make!!Waziri mkuu kamwe hawezi kuongozwa na Chadema mtaani kwake.
Wananchi wa Kigogo Fresh B wamesema kamwe hawatakubali udikteta huu kwenye mtaa wao.
Tusubiri tuone.....