Waziri Mkuu Pinda kwanini hutaki demokrasia mtaani kwako?

Ha Ha Haa...

Hupendi tena chama chako kinachokupa mlo wa siku?

Unaogopa nini kujifungamanisha na chama kinachotetea ufisadi? Chama kilichochoka?








Kutowahi kufika Lumumba haimaanishi kuwa U'CCM wangu umekwisha. Na sioni haya kuwa mwana CCM. Pia nasikitika kuwa,umeruka kiunzi tayari (cha wapi Pinda anaishi).

Na By-The way; Ufisadi,uhaini na ushenzi ni spirit ya mtu. Sio Chama wala system iwayo yoyote. Hata huko UKAWA wamo wengi na washenzi zaid ya kina Lowasa,Chenge e.t.c.

So; BEWARE!
 
Oysterbay ni Makazi ya Waziri Mkuu na sio nyumbani kwa mtu anayeitwa Mizengo Pinda....

Pinda nyumbani kwake ni Pugu

Ni kama Frederick Sumaye alikuwa na makazi oysterbay lakini nyumbani Kibaha

Rais anaishi Ikulu lakini makazi yake ni URSINO ,migombani street ...na makazi official ni Chalinze ..

Asante kumwelewesha kwa sababu huyu jamaa katumwa kutetea kitu kinachomdhalilisha mwenyewe.

Anadhani watu humu jamvini watu ni sawa na watoto wa chekechea
 
Kutowahi kufika Lumumba haimaanishi kuwa U'CCM wangu umekwisha. Na sioni haya kuwa mwana CCM. Pia nasikitika kuwa,umeruka kiunzi tayari (cha wapi Pinda anaishi).

Na By-The way; Ufisadi,uhaini na ushenzi ni spirit ya mtu. Sio Chama wala system iwayo yoyote. Hata huko UKAWA wamo wengi na washenzi zaid ya kina Lowasa,Chenge e.t.c.

So; BEWARE!

Huwa mkisikia UKAWA homa za vipindi zinapanda ghafla.

Unataka kudanganya watu hapa kwamba mafisadi wapo CCM na Ukawa? Ni lini Ukawa imeongoza nchi?

Mbinu yenu hii ya kuhadaa watu ili waone Ukawa ni walewale halafu waendelee kuichagua CCM tunaijua siku nyingi na nakuhakikishia hamtafanikiwa.

Kuhusu anakoishi Pinda nakushauri msome Phillemon Mikael huenda akili yako ikafunguka kidogo
 
Last edited by a moderator:
Hili swali limekuwa likinisumbua sana ... nasikia mh. waziri mkuu wa zamani lowasa nae alihakikisha chadema wanahujumiwa huko monduli ... hivi hawa wakiupata uraisi nini itakuwa hatima ya upinzani? hivi kwanini wakose political tolerance kiasi hicho? mbona ingekuwa mfano mzuri kwa wao kufanya kazi vema na wapinzani?




Hii issue nitofauti sana unapomjadili Pinda. He is not such a way "Political Intolerant" . Kaangalieni huko Jimboni kwake KATAVI. Pahala ambapo madiwani ktk kata husika wameboronga, Chadema wamechukua nafasi (just because CCM haikutekeleza ahadi zake kama ilivostahiki).

Nchi hii imefika pahala kwamba huwez kumlazimisha mtu jambo. Pinda hana hiana. Ndio maana anajitahidi kuhimiza na kufanya maendeleo ili kuleta "Political Sovereignty" na sio mabavu.

Sasa mnaweza kunieleza JIMBONI kwake na NYUMBANI kwake (pale Pugu) ni wapi pa muhimu.
 
Huwa mkisikia UKAWA homa za vipindi zinapanda ghafla.

Unataka kudanganya watu hapa kwamba mafisadi wapo CCM na Ukawa? Ni lini Ukawa imeongoza nchi?

Mbinu yenu hii ya kuhadaa watu ili waone Ukawa ni walewale halafu waendelee kuichagua CCM tunaijua siku nyingi na nakuhakikishia hamtafanikiwa.

Kuhusu anakoishi Pinda nakushauri msome Phillemon Mikael huenda akili yako ikafunguka kidogo





Wewe ni mshabiki/Mkereketwa wa siasa. Sio "POLITICAL ANALYST" Kwa #ubongo wako ninaouona hapo, twaweza kesha.

Nikushauri uende kule Facebook. Huku waachie "great-thinkers" . Hatutaki watoa Mapovu kama nyie huku.
 
Last edited by a moderator:
Uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita umeonyesha rangi halisi ya CCM na viongozi wake.

Mtaa wa Kigogo Fresh B Pugu-Ukonga anaishi Waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda.Siku ya uchaguzi tarehe 14 December uchaguzi ulivurugika haukufanyika na mkurugenzi akatangaza ungefanyika wiki moja baadaye.

Mgombea wa Chadema aliaminiwa na wananchi wa mtaa huu kwa sababu anayajua matatizo ya watu wa Pugu.Wananchi walitaka kumpa ushindi wa zaidi ya asilimia 90% uchaguzi ungefanyika.Mgombea wa CCM alishindwa hata kufanya mkutano wa wazi kwa sababu kila alikokuwa anapita anazomewa na hata watoto wadogo.

Hata hivyo siku moja kabla ya uchaguzi wa Marudio mkurugenzi wa Ilala akiwa amejifungia ofisini alimtangaza mgombea wa CCM kwamba ndiye mwenyekiti mpya wa mtaa wa Kigogo Fresh B bila ya uchaguzi.

Tangazo hili lilileta hasira kubwa kwa wakazi wa mtaa huu na wakaamua siku ya kuwaapisha kutumia nguvu ya Umma kumzuia mkurugenzi kufanya uhuni huu.Na kweli mkurugenzi akashindwa na kuahirisha zoezi.

Sasa kuna taarifa kwamba wakubwa wameamua ni lazima wamuapishe mtu wao waliyemuweka madarakani kwa njia ya mapinduzi.Kwamba ataapishwa leo Alhamisi tarehe 22/1/2015 saa 3 asubuhi katika ukumbi wa Anatougle kwa sababu Waziri mkuu kamwe hawezi kuongozwa na Chadema mtaani kwake.

Wananchi wa Kigogo Fresh B wamesema kamwe hawatakubali udikteta huu kwenye mtaa wao.

Tusubiri tuone.....

Updates....

Kutoka Anartouglou ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Mgombea wa ccm mtaa wa Kigogo Fresh B aliyetaka kuapishwa kinyemela amezuiwa na nguvu ya UMMA kwa kupigwa vibaya na umati mkubwa wa watu uliotanda nje ya ukumbi huo.

Mgombea huyo wa CCM amepigwa mpaka alipookolewa na polisi waliofika eneo hilo kumuokoa.
Kwa nini wasimchome moto tu ili kukata mzizi wa fitina.
 
Ila wananchi wanajitambua sana aisee,

Mwenyekiti feki wa CCM kacehezea kichapo cha haja, hatarudia tena kupenda kula vya kunyongwa aka vibudu - nyambaf

Pinda nae siku zake zinahesabika, we ngoja tu
 
Kutowahi kufika Lumumba haimaanishi kuwa U'CCM wangu umekwisha. Na sioni haya kuwa mwana CCM. Pia nasikitika kuwa,umeruka kiunzi tayari (cha wapi Pinda anaishi).

Na By-The way; Ufisadi,uhaini na ushenzi ni spirit ya mtu. Sio Chama wala system iwayo yoyote. Hata huko UKAWA wamo wengi na washenzi zaid ya kina Lowasa,Chenge e.t.c.

So; BEWARE!
haya yote uliyoyaeleza ndiyo sera ya ccm ndo maana ccm iliongoza kufuta azimio la Arusha na kubaka rasmu ya wananchi ya katiba mpya maana maudhui yake yalikuwa yanapingana na sera ya wezi,ufisadi,rushwa na uchafu wote wa ccm
 
Hii issue nitofauti sana unapomjadili Pinda. He is not such a way "Political Intolerant" . Kaangalieni huko Jimboni kwake KATAVI. Pahala ambapo madiwani ktk kata husika wameboronga, Chadema wamechukua nafasi (just because CCM haikutekeleza ahadi zake kama ilivostahiki).

Nchi hii imefika pahala kwamba huwez kumlazimisha mtu jambo. Pinda hana hiana. Ndio maana anajitahidi kuhimiza na kufanya maendeleo ili kuleta "Political Sovereignty" na sio mabavu.

Sasa mnaweza kunieleza JIMBONI kwake na NYUMBANI kwake (pale Pugu) ni wapi pa muhimu.

Naona bila kujitambua umekiri nyumbani kwa Pinda ni PUGU

Tuendelee....
 
haya yote uliyoyaeleza ndiyo sera ya ccm ndo maana ccm iliongoza kufuta azimio la Arusha na kubaka rasmu ya wananchi ya katiba mpya maana maudhui yake yalikuwa yanapingana na sera ya wezi,ufisadi,rushwa na uchafu wote wa ccm

Asante sana.Umepitisha kisu pahala pake kabisa.

Nikikumbuka Katiba mpya haramu ya CCM najikuta nabubujikwa tu na machozi..
 
Wewe ni mshabiki/Mkereketwa wa siasa. Sio "POLITICAL ANALYST" Kwa #ubongo wako ninaouona hapo, twaweza kesha.

Nikushauri uende kule Facebook. Huku waachie "great-thinkers" . Hatutaki watoa Mapovu kama nyie huku.

Ama...Nawe ni Great thinker? Ghosh!!!

Mtu usiyejua hata kutofautisha makazi ya Waziri mkuu na nyumbani kwa Mizengo Pinda nawe wajiita Great thinker??

Mlambaviatu vya mafisadi nawe wajiita Great thinker?

Kama ni hivyo hakuna maana ya Great thinker!
 
Wewe ni mshabiki/Mkereketwa wa siasa. Sio "POLITICAL ANALYST" Kwa #ubongo wako ninaouona hapo, twaweza kesha.

Nikushauri uende kule Facebook. Huku waachie "great-thinkers" . Hatutaki watoa Mapovu kama nyie huku.

Haya sasa,muone na huyu!

Bhange mbaya sana alooooo; sasa wewe usie mshabiki wa siasa iko wapi huo u-political analysis yako? u-great thinker wako uko wapi?

Kumbe nako kuwa #booty licker nowadays ni sifa ya kujiita political analyst? Au #njaa_ya_tumbo kuhamia kichwani nako ndio kuwa political analyst?

Look here mister, kama huna hoja mbadala viroja haiwezi kubalika. Discuss issues on the table and stop attacking personalities za watu ambao basically hata kuwafahamu physically huwajui

Ushauri tu huo kabla hujachizika kwa chuki binafsi juu ya watu, unaweza chukua au acha!
 
Naona bila kujitambua umekiri nyumbani kwa Pinda ni PUGU

Tuendelee....




Ndo maana kwenye comment yangu hapo juu nimeku'disqualify kuwa wewe ni Mkereketwa tu wa siasa.

Nimeyaandika hayo kutokana na uchambuzi aloutoa mwenzako hapo juu. Ndo kafafanua Makaazi(officially) na makaazi(individual domicile).

Wewe ni empty-gallon kabisa jamaa yangu. Utaumbuka sana humu.

****tuendelee.....
 
Haya sasa,muone na huyu!

Bhange mbaya sana alooooo; sasa wewe usie mshabiki wa siasa iko wapi huo u-political analysis yako? u-great thinker wako uko wapi?

Kumbe nako kuwa #booty licker nowadays ni sifa ya kujiita political analyst? Au #njaa_ya_tumbo kuhamia kichwani nako ndio kuwa political analyst?

Look here mister, kama huna hoja mbadala viroja haiwezi kubalika. Discuss issues on the table and stop attacking personalities za watu ambao basically hata kuwafahamu physically huwajui

Ushauri tu huo kabla hujachizika kwa chuki binafsi juu ya watu, unaweza chukua au acha!

Ama...Nawe ni Great thinker? Ghosh!!!

Mtu usiyejua hata kutofautisha makazi ya Waziri mkuu na nyumbani kwa Mizengo Pinda nawe wajiita Great thinker??

Mlambaviatu vya mafisadi nawe wajiita Great thinker?

Kama ni hivyo hakuna maana ya Great thinker!



Hahaaaaa!

Niwasihi tu ktk uchambuzi wenu muwe waungwana na sio "wakereketwa". Na tumefika kote huku kwa baadhi yenu kushindwa kujitambua na kwenda kichwakichwa. Yote haya ni "Foolish Politicization " mlomezeshwa na media.

Any ways; nafurahi sana kuwaona vijana mkiwa na munkari na tashwishwi kubwa sana kutaka kuona mambo yanakwenda namna nzuri ktk Taifa letu. Nimewatahadharisha hapo juu kuwa, shida ya uozo wote huu sio CCM, shida ni #MAADILI ya mtu mmojammoja jambo ambalo halipo CCM pekee. Bali hata UKAWA e.t.c

But since mko juujuu; mtaendelea kuleta "Scorns" zisizo na tija.

Ninyi mko namna hii....(Refer #picha hii chini)!!
 

Attachments

  • 1421940934136.jpg
    1421940934136.jpg
    35.9 KB · Views: 45
Ndo maana kwenye comment yangu hapo juu nimeku'disqualify kuwa wewe ni Mkereketwa tu wa siasa.

Nimeyaandika hayo kutokana na uchambuzi aloutoa mwenzako hapo juu. Ndo kafafanua Makaazi(officially) na makaazi(individual domicile).

Wewe ni empty-gallon kabisa jamaa yangu. Utaumbuka sana humu.

****tuendelee.....

Nimefustilia mabishano yako hapa nimetambua na wewe unapashwa kupewa alichopewa leo m/kiti feki wa Kigogo Fresh B.

Nyie vijana mnaoongozwa na Njaa akili imepigwa ganzi kabisa kwasababu tu ya kupenda vya kupewa.
 
Nimefustilia mabishano yako hapa nimetambua na wewe unapashwa kupewa alichopewa leo m/kiti feki wa Kigogo Fresh B.

Nyie vijana mnaoongozwa na Njaa akili imepigwa ganzi kabisa kwasababu tu ya kupenda vya kupewa.

Ni bahati mbaya sana hunijui. All in all, jitahidi kuutafuta ukweli kiungwana. Mungu atakusaidia na kukubariki.
 
Ndo maana kwenye comment yangu hapo juu nimeku'disqualify kuwa wewe ni Mkereketwa tu wa siasa.

Nimeyaandika hayo kutokana na uchambuzi aloutoa mwenzako hapo juu. Ndo kafafanua Makaazi(officially) na makaazi(individual domicile).

Wewe ni empty-gallon kabisa jamaa yangu. Utaumbuka sana humu.

****tuendelee.....
Nashanga sana kijana mdogo kushabikia ccm
 
Dalili za mvua ni mawingu. Na mawingu yenyewe yametanda kwa wale wale wanaominya demokrasia.

Lakini mnamkashifu Pinda bure huenda yeye kama yeye hana usongo na matokeo bali wale wapambe ndio wanaweka kiwingu tu. Mbona Kikwete mbunge wake ni Halima Mdee tangu 2010?

Hivi huwa anashiriki mikutano ya mbunge wake? Halima ni mbunge wa mawaziri wengi na makatibu wakuu.
 
Waziri mkuu mzima anahangaika na uchaguzi wa serikali za mitaa!!! Hii haikai akilini kabisa alafu buyu huyu anataka uraisi!! na apigwe tu...
 
Back
Top Bottom