Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF
Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje.
Ni jambo zuri sana kwani huwawezesha wenye kipato kidogo wasioweza kumudu kununua baadhi ya vitu vipya, kununua hivi vya mitumba (used).
Tatizo linakuja kwa baadhi ya waagizaji kumtaka mnunuzi kulipia mali ikiwa bado nje ya nchi ndipo iweze kupakiwa kwenye container.
Baadhi ya wanunuzi wamejikuta wakiletewa mali ambazo ni damaged beyond repair, hivyo kupata hasara kwakuwa wauzaji hawakubali kurudisha pesa
Huduma nzuri imegeuzwa wizi, serikali itusaidie kukomesha wizi huu kwa kuwataka waagizaji kufuata utaratibu unaokubalika wa mtu kulipia mali baada ya kujiridhisha na ubora wa kitu anacholipia. Hii itasaidia pia kuzuia kuligeuza taifa kuwa dumping ground.
Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje.
Ni jambo zuri sana kwani huwawezesha wenye kipato kidogo wasioweza kumudu kununua baadhi ya vitu vipya, kununua hivi vya mitumba (used).
Tatizo linakuja kwa baadhi ya waagizaji kumtaka mnunuzi kulipia mali ikiwa bado nje ya nchi ndipo iweze kupakiwa kwenye container.
Baadhi ya wanunuzi wamejikuta wakiletewa mali ambazo ni damaged beyond repair, hivyo kupata hasara kwakuwa wauzaji hawakubali kurudisha pesa
Huduma nzuri imegeuzwa wizi, serikali itusaidie kukomesha wizi huu kwa kuwataka waagizaji kufuata utaratibu unaokubalika wa mtu kulipia mali baada ya kujiridhisha na ubora wa kitu anacholipia. Hii itasaidia pia kuzuia kuligeuza taifa kuwa dumping ground.