Waziri mkuu msataafu atembelea shule ya Secondary ya Ann's

vivian

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
1,749
1,000
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Wanafunzi wa Shule ya Sekindari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's iliopo Mkoani Morogoro wakiimba wimbo maalum wa kumkaribisha Mh. Waziri Mkuu Mstaafu.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiongozana na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro,Sista Dennis wakati alipofika shuleni hapo na kuzungumza na wanafunzi wa shule hiyo,ambapo aliwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili waweze kuwa viongozi wa baadaye.
Waziri Mkuu mstaafu,Mh. Edward Lowassa pamoja na Mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa katika picha ya pamoja na Walimu wa Shule ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.


Na mwandishi maalum
Waziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa, amewataka wanafunzi wa kike kusoma kwa bidi ili waweze kuwa viongozi wa baadaye.Mh Lowassa aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na wanafunzi na viongozi wa shule ya sekondari ya wasichana ya mtakatifu Anns iliyoko Morogoro.Aidha Mh Lowassa alitoa zawadi ya mpira kwa kila darasa katika shule hiyo, ikiwa ni katika kuhamasisha michezo mashuleni.Naye Mkuu wa shule hiyo Sister Dennis pamoja na wanafunzi na watawa wengine shuleni hapo walimtakia Mh Lowassa afya njema ili aweze kuendelea kuwatumikia watanzania.​
 

Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.

Wanafunzi wa Shule ya Sekindari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's iliopo Mkoani Morogoro wakiimba wimbo maalum wa kumkaribisha Mh. Waziri Mkuu Mstaafu.

Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiongozana na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro,Sista Dennis wakati alipofika shuleni hapo na kuzungumza na wanafunzi wa shule hiyo,ambapo aliwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili waweze kuwa viongozi wa baadaye.

Waziri Mkuu mstaafu,Mh. Edward Lowassa pamoja na Mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa katika picha ya pamoja na Walimu wa Shule ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.


Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.


Na mwandishi maalum
Waziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa, amewataka wanafunzi wa kike kusoma kwa bidi ili waweze kuwa viongozi wa baadaye.Mh Lowassa aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na wanafunzi na viongozi wa shule ya sekondari ya wasichana ya mtakatifu Anns iliyoko Morogoro.Aidha Mh Lowassa alitoa zawadi ya mpira kwa kila darasa katika shule hiyo, ikiwa ni katika kuhamasisha michezo mashuleni.Naye Mkuu wa shule hiyo Sister Dennis pamoja na wanafunzi na watawa wengine shuleni hapo walimtakia Mh Lowassa afya njema ili aweze kuendelea kuwatumikia watanzania.​
Wanabahati hao wanafunzi kwani kwa taarifa za kuaminika Mheshimiwa huyo mialiko ya kutembelea sehemu mbalimbali imejaa mpaka mwezi wa kumi 2012.
 
inawezekana huyu jamaa sio fisadi kama tulivyoaminishwa...yes..mbona sitta alituaminisha mwakyembe aliwekewa sumu only to find out it was a stupid lie.,,.iam only thinking don't skin me people.
 
naona EL anapata mialiko mingi kuliko pm pinda imekaaje?mh sitta uroho wa urais unamsumbua
 
Hakika alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani. Wanafiki Sitta na Mwakyembe walijaribu kuififisha nyota ya Lowassa lakini wameshindwa vibaya sana.
 
Mnaniuzi mnaomwita Lowassa waziri mkuu mstaafu, alistaaf lini? Huyu ni waziri mkuu aliyejiuzulu/ waziri mkuu mjiuzulu.:A S 13:
 
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Wanafunzi wa Shule ya Sekindari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's iliopo Mkoani Morogoro wakiimba wimbo maalum wa kumkaribisha Mh. Waziri Mkuu Mstaafu.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiongozana na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro,Sista Dennis wakati alipofika shuleni hapo na kuzungumza na wanafunzi wa shule hiyo,ambapo aliwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili waweze kuwa viongozi wa baadaye.
Waziri Mkuu mstaafu,Mh. Edward Lowassa pamoja na Mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa katika picha ya pamoja na Walimu wa Shule ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Na mwandishi maalumWaziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa, amewataka wanafunzi wa kike kusoma kwa bidi ili waweze kuwa viongozi wa baadaye.Mh Lowassa aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na wanafunzi na viongozi wa shule ya sekondari ya wasichana ya mtakatifu Anns iliyoko Morogoro.Aidha Mh Lowassa alitoa zawadi ya mpira kwa kila darasa katika shule hiyo, ikiwa ni katika kuhamasisha michezo mashuleni.Naye Mkuu wa shule hiyo Sister Dennis pamoja na wanafunzi na watawa wengine shuleni hapo walimtakia Mh Lowassa afya njema ili aweze kuendelea kuwatumikia watanzania.​
MODERATOR!!!!!!Tafadhali sana naomba umzuie Vivian kutumia vibaya jukwaa hili la great thinkers. Inaonekana uzi huu aliouanzisha ni kampeni za mbio za uraisi mwaka 2015 bila kujali anayefanyiwa kampeni ataibukia toka chama gani cha siasa. Suala la waziri mstaafu kutembelea convent ya masister na mkewe pale st. anne kihonda ni issue kweli ya kudadavuliwa humu jamvini??? Tena kwa mshangao zaidi naambiwa eti katoa zawadi ya mpira mmoja mmoja kuhimiza michezo mashuleni!!!!!!!!!. Nilitegemea angeahidi kejenga maabara ya kisasa kabisa pale st.Anns na kuahidi kuwanunulia reagents za maabara kwa kipindi cha miaka 5 ili kuinua uelewa na ufaulu wa wasichana katika masomo ya sayansi waweze kukabili ushindani uliopo katika soko la ajira. My take You can not cheat all Tanzanians all the time. huuu ni uongo na ulaghai wa mchana kweupeeee!
 
na kweli AMESTAAFU WAPI NA LINI.......? HUYO ALIJIUZURU. ingelikuwa huko kwa wenzetu duniani jamaa mida hii anafanya shughuli zake baada ya kashfa ile kumlazimisha kujiuzuru lkn huku dunia ya tatu mmmh..........!!!
 
MODERATOR!!!!!!Tafadhali sana naomba umzuie Vivian kutumia vibaya jukwaa hili la great thinkers. Inaonekana uzi huu aliouanzisha ni kampeni za mbio za uraisi mwaka 2015 bila kujali anayefanyiwa kampeni ataibukia toka chama gani cha siasa. Suala la waziri mstaafu kutembelea convent ya masister na mkewe pale st. anne kihonda ni issue kweli ya kudadavuliwa humu jamvini??? Tena kwa mshangao zaidi naambiwa eti katoa zawadi ya mpira mmoja mmoja kuhimiza michezo mashuleni!!!!!!!!!. Nilitegemea angeahidi kejenga maabara ya kisasa kabisa pale st.Anns na kuahidi kuwanunulia reagents za maabara kwa kipindi cha miaka 5 ili kuinua uelewa na ufaulu wa wasichana katika masomo ya sayansi waweze kukabili ushindani uliopo katika soko la ajira. My take You can not cheat all Tanzanians all the time. huuu ni uongo na ulaghai wa mchana kweupeeee!
Hahahaaaa.........weye bana!!!

Tabu kweli!!!
 
MODERATOR!!!!!!Tafadhali sana naomba umzuie Vivian kutumia vibaya jukwaa hili la great thinkers. Inaonekana uzi huu aliouanzisha ni kampeni za mbio za uraisi mwaka 2015 bila kujali anayefanyiwa kampeni ataibukia toka chama gani cha siasa. Suala la waziri mstaafu kutembelea convent ya masister na mkewe pale st. anne kihonda ni issue kweli ya kudadavuliwa humu jamvini??? Tena kwa mshangao zaidi naambiwa eti katoa zawadi ya mpira mmoja mmoja kuhimiza michezo mashuleni!!!!!!!!!. Nilitegemea angeahidi kejenga maabara ya kisasa kabisa pale st.Anns na kuahidi kuwanunulia reagents za maabara kwa kipindi cha miaka 5 ili kuinua uelewa na ufaulu wa wasichana katika masomo ya sayansi waweze kukabili ushindani uliopo katika soko la ajira. My take You can not cheat all Tanzanians all the time. huuu ni uongo na ulaghai wa mchana kweupeeee!

utakuwa una matatizo sio kidogo.
 
inawezekana huyu jamaa sio fisadi kama tulivyoaminishwa...yes..mbona sitta alituaminisha mwakyembe aliwekewa sumu only to find out it was a stupid lie.,,.iam only thinking don't skin me people.

Anasingiziwa huyu, ndiyo maana hata alipomuuliza kikwete kwamba ishu ya Richmond yeye alikataa lakini Kikwete alilazimishwa na mpaka leo kikwete hajakana
 
utakuwa una matatizo sio kidogo.

Tafadhali sana naomba uainishe matatizo yangu moja baada ya lingine ili kunielimisha mimi binafsi na great thinkers wengine vinginevyo ondoka haraka humu jamvini maana huna haki yoyote ya kuongea kabla hujafanya utafiti na kuyatambua matatizo mengi na siyo kidogo yanayonikabili kama unavyosema....kichambo wewe!!
 
Tafadhali sana naomba uainishe matatizo yangu moja baada ya lingine ili kunielimisha mimi binafsi na great thinkers wengine vinginevyo ondoka haraka humu jamvini maana huna haki yoyote ya kuongea kabla hujafanya utafiti na kuyatambua matatizo mengi na siyo kidogo yanayonikabili kama unavyosema....kichambo wewe!!
Ha ha ha ha Mkuu umemwita KICHAMBO kabisa,lol,ngachio baasi!!!!
 
Wa TZ wanafki msimpake mafuta kwa mgongo wa chupa mzee wawatu

Ni waziri aliyejiuzuru kwa manufaa ya umma
 
Hivi lile fisadi lenzake (ROSTAM AZIZ)limekimbilia wapi siku hizi naona waziri mkuu aliyjiuzulu kwa kashfa ya ufisadi siku hizi a anaranda randa pekee yake akiitumia mbeleko ya mkewe ndio imbebe.Naona genge lao limeparaganyika,walisumbua sana hawa watu enzi zao.
 
Back
Top Bottom