Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Ninaona hamna haja ya utafiti. It is the same stuff in different package.Kwa hiyo zikikiwekwa kwenye chupa fresh tu..Sina uhakika km utafiti kwny hili umefanyika
Ninaona hamna haja ya utafiti. It is the same stuff in different package.Kwa hiyo zikikiwekwa kwenye chupa fresh tu..Sina uhakika km utafiti kwny hili umefanyika
Nguvukazi bila kazi inasaidia nini?Itasaidia sana kuokoa nguvu Kazi. Uamuzi mzuri nauunga mkono....
Tangu lini?Hakuna viroba Zambia.
Kamata fursa mkuu...Mkuu uko sahihi Zambia na Malawi zinapombe nyingi sana za karatasi tena kali kuliko hata kiroba.....Naona ni muda muafaka wafanyabiasha wa magendo mipakani kutajirika.
Mkuu acha utaniNilisahau na BABATI mkoa wa MANYARA
Amesema wameshakaa na wenye viwanda vya kutengeneza pombe hizo na kuwaambia viroba kuwa kuanzia tarehe 1/3/2017 ni marafuku kutengeneza viroba.
Amewataka watengeneze pombe zenye ukubwa unaokubalika kwani viroba vimekuwa vikitumiwa na wanafunzi.
Amesema zoezi hilo litaenda sambamba na zoezi la kupiga vita dawa za kulevya
Amesema wameshakaa na wenye viwanda vya kutengeneza pombe hizo na kuwaambia viroba kuwa kuanzia tarehe 1/3/2017 ni marafuku kutengeneza viroba.
Amewataka watengeneze pombe zenye ukubwa unaokubalika kwani viroba vimekuwa vikitumiwa na wanafunzi.
Amesema zoezi hilo litaenda sambamba na zoezi la kupiga vita dawa za kulevya
watatufanya tuamie kwenye gongo, na hii pia ni fulsa kwa wauza gongo, hasa wale mama zetu wafuasi wa ccmSa tutakunywa nini