Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Msema kweli Mpenzi wa Mungu. Futa posho za vikao bila kujali ni wabunge au mawaziri nk. Vipi ofisi za wakuu wa mkoa na wilaya bado zina tija kweli zaidi kuongeza matumizi ya serikaliMheshimiwa Waziri Mkuu,
Natumaini wewe ni mzima wa afya na pole na majukumu.
Natumia jukwaa hili kukuomba wewe kama mtendaji mkuu wa serikali kufuta posho zote za wabunge kwani nao ni watumishi wa umma kama walivyo wafanyakazi wa serikali.
Ukifuta posho za wabunge tutapata fedha nyingi sana zitakazoelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Natanguliza shukrani kwani naamini ombi langu litafanyiwa kazi.
Wako mtiifu katika kujenga nchi
hopetumaini wa JF