PreGE2025 Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa akiaga Bunge

PreGE2025 Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa akiaga Bunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametangaza kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi, amesema hayo akilihutubia Bunge kwa mara ya mwisho leo Juni 26, 2025 jijini Dodoma.

"Ninawashukuru sana wana Ruangwa kwa kuniunga mkono na kunipatia ushirikiano katika kipindi chote nilipokuwa nikitekeleza majukumu ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ninatambua wakati mwingi nimekuwa nje ya jimbo nikilitumikia taifa lakini wana Ruangwa wameendelea kuniunga mkono. Nitumie nafasi hii kusema asanteni sana na ninamuomba Mwenyezi Mungu azidi kuimarisha mshikamano uliopo kati yetu sote. Ninaomba kuwajulisha kuwa ninakuja kuchukua fomu ya kuomba ridhaa yenu tena."

Soma, Pia: Ruangwa wamlipia Fomu ya Urais Dkt. Samia na Ubunge Majaliwa

 
Ila watu wa kusini sijui wana nini? Mbona aibu za reja reja zina epukika kabisa?

1St Lady kuwa mgonga meza.
PM anataka kuwa mgonga meza bila cheo. Lol

Ulafi wa madaraka ni Uraibu, kuliko neno lenyewe. Uwiiiih.
 
Ila watu wa kusini sijui wana nini? Mbona aibu za reja reja zina epukika kabisa?

1St Lady kuwa mgonga meza.
PM anataka kuwa mgonga meza bila cheo. Lol

Ulafi wa madaraka ni Uraibu, kuliko neno lenyewe. Uwiiiih.
Yani kama yule Ex - 1st lady ndio huwa simuelewi kabisa..Ni mara mia angeboresha ile WAMA yake..UJINGA tu
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametangaza kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi, amesema hayo akilihutubia Bunge kwa mara ya mwisho leo Juni 26, 2025 jijini Dodoma.

"Ninawashukuru sana wana Ruangwa kwa kuniunga mkono na kunipatia ushirikiano katika kipindi chote nilipokuwa nikitekeleza majukumu ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ninatambua wakati mwingi nimekuwa nje ya jimbo nikilitumikia taifa lakini wana Ruangwa wameendelea kuniunga mkono. Nitumie nafasi hii kusema asanteni sana na ninamuomba Mwenyezi Mungu azidi kuimarisha mshikamano uliopo kati yetu sote. Ninaomba kuwajulisha kuwa ninakuja kuchukua fomu ya kuomba ridhaa yenu tena."

Soma, Pia: Ruangwa wamlipia Fomu ya Urais Dkt. Samia na Ubunge Majaliwa
Tamaa ya madaraka itamuua. Licha ya kufeli kwenye majukumu yake ya uwaziri mkuu hadi kuteuliwa Naibu Waziri mkuu amfundishe kazi, bado anatamani kugombea akitarajia kuteuliwa tena? Atasubiri sana.
 
Ila watu wa kusini sijui wana nini? Mbona aibu za reja reja zina epukika kabisa?

1St Lady kuwa mgonga meza.
PM anataka kuwa mgonga meza bila cheo. Lol

Ulafi wa madaraka ni Uraibu, kuliko neno lenyewe. Uwiiiih.
Huyu angepumzika tu
Hivi hawa watu hawaoni
Aibu,maana akirudi atakuwa mbunge alafu hana uwaziri mkuu
Akiwa bungeni ataanza kuomba wajengewe sijui matundu ya choo,mara visima vya maji,mara anaomba madawati

Ova
 
Kazi ya bunge ndio top job Kwa Tanzania unataka akafanye Kazi Gani Sasa Kwa umri wake!!! Astaafu harafu awe benchi asubilie nafasi za kuhurumiwa!!
 
Back
Top Bottom