Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Wana JF.
Kwenye gazeti la mwananchi leo limeripoti kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kusema raisi Magufuli atakuwa wa mwisho kuhamia dodoma na kupokewa na watumishi wa serikali.
Mbona hakuna taarifa kuhusu wizara kuanzia ya Waziri Mkuu wanahamia lini dodoma?
Kwenye gazeti la mwananchi leo limeripoti kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kusema raisi Magufuli atakuwa wa mwisho kuhamia dodoma na kupokewa na watumishi wa serikali.
Mbona hakuna taarifa kuhusu wizara kuanzia ya Waziri Mkuu wanahamia lini dodoma?