Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Sasa watazungumzia wapi wakati hata mikutano ya ndani hairuhusiwi? Na hawa wako madarakani mwaka mzima walikuwa hawajashtuka tu na vyombo walivyonavyo? Bila taasisi imara tunajisumbuaAwamu hii ufisadi unaibuliwa na CCM wenyewe tofauti na awamu iliyopita ambapo kelele hizi zilihodhiwa na upinzani.
Ni Tanzania pekee kwa Afrika nzima ambapo ufisadi haujazungumza na upinzani kwenye uchaguzi ilhali ufisadi upo.
Funny!!,