Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,420
- 4,728
Huku bei za bidhaa zikizidi kupanda, tozo nazo kila mahali; cha kushangaza ni kwamba, hakuna jitihada zozote zinazooneshwa na viongozi wa serikali kuu katika kubana matumizi!
Ziara na misafara imekuwa mingi na ya kila siku. Ni kweli hatuwezi kuwa sawa kiuchumi, lakini angalau zionekane jitihada za pamoja na za wazi, katika kubana matumizi yasiyo ya lazima!
Tukumbuke, 'ngoma ikilia sana, mwishowe upasuka!'
Mtaani hali ni mbaya, mfumuko wa bei ni wa kasi kubwa!
Wananchi wengi wanalalamika!
Hakuna anayeonesha kusikiliza kilio chao!
'Ee Mwenyezi Mungu, tunakuomba uwajalie viongozi wetu utu na huruma kwa wananchi wanaowaongoza" Amen!
Ziara na misafara imekuwa mingi na ya kila siku. Ni kweli hatuwezi kuwa sawa kiuchumi, lakini angalau zionekane jitihada za pamoja na za wazi, katika kubana matumizi yasiyo ya lazima!
Tukumbuke, 'ngoma ikilia sana, mwishowe upasuka!'
Mtaani hali ni mbaya, mfumuko wa bei ni wa kasi kubwa!
Wananchi wengi wanalalamika!
Hakuna anayeonesha kusikiliza kilio chao!
'Ee Mwenyezi Mungu, tunakuomba uwajalie viongozi wetu utu na huruma kwa wananchi wanaowaongoza" Amen!