Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi?

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,493
Reaction score
2,366
Siku za kwanza za uteuzi wake tuliona mh.akizunguka huku na kule kutumbua majipu hali iliyopelekea watendaji wa serikali kushikwa na kihoro. Muda umepita sasa sijasikia kasi ya mh. wetu, najiuliza yuko wapi? Nini kimekufanya upoe mkuu majipu bado hayajaisha, sisi wananchi bado tuna imani na wewe
 
Unamaaanisha yule mzee wa bandari au
 
Labda anaandaliwa kutumbuliwa kwenye mabadiliko mengine ya baraza la Mawaziri.

 
Huyu Majaliwa alikuwa Naibu Waziri wa Tamisemi kipindi cha JK, na madudu yooote ya huko anayajua. Likiwemo hili la wafanya kazi hewa. Atakuwa ameguswa pabaya.
Naamini hadi JPM anamteua alijiridhisha kabisa so sidhan kama angeteua mtu ambaye ni jipu
 
Baada ya kuumaliza msala wa mabasi ya mwendo kasi nadhani kaamua kuchukua na likizo.
 
Mmmm, ngoja nikae pemben ntarud baaday maana nisije nikaongea kitu nikajikuta nipo segerea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…