somijo
Senior Member
- Apr 14, 2012
- 110
- 47
Katika kuonyesha ni namna gani wazir wetu mkuu alivo dhaifu!! Ameacha kuwachukulia hatua viongozi waliomdharau kwa kutotekeleza maagizo yake aliyowapa huko dodoma eti kaishia kuzira uzinduzi
Wanaouumia ni wananchi yeye ni mtendaji mkuu wa serikali!! Hivi ni kiongozi gani huyuuu??? Mweeee!!!
Source: Chanel 10 habari
Wanaouumia ni wananchi yeye ni mtendaji mkuu wa serikali!! Hivi ni kiongozi gani huyuuu??? Mweeee!!!
Source: Chanel 10 habari