Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mimi kwa maoni yangu hatutafika popote kwenye hili maadamu watoa maamuzi wetu nao ni waumini wa hizi hizi Dini, tufanye kama Wazungu kama Viongozi wetu wanaona wanashindwa kudili na Viongozi fake wa Kidini wanaotumia Dini kwa manufaa yao Binafsi tukabidhi nchi au sehemu ya Serikali inayoadili na mambo ya Dini kwa mtu asiye na Dini kwa kipindi amalize huu mjadala, hili linawezekana na wapo wengi tu wanaoweza kuufunga kwa dakika sifuri!
Wazungu hutumia sana hii mbinu ndo maana hata USA wamemleta D. Trump ili aweke mambo sawa kwa maana wale wengine ni ,,wastaarabu" na waoga sana ona sasa anavyopambana kupunguza trade deficit ya USA kwa nguvu zote dadadeki na hakuna Maandamano USA kumpinga unafikiri ni kwa nini? wako pamoja naye, Ufilipino walimleta Duterte ili aondoe drug barons na kweli aliwamaliza hakusikia umoja wa Mataifa wala nini leo hii tatizo limepugua!
Hivyo hili linawezekana kabisa kama wenye Mamlaka wanawaonea haya viongozi wa kidini, wakabidhi watu ambao hawajali kwa muda, ili kuiokoa nchi yetu, kwani tuna Dini nyingi na kila mtu akitaka Dini isikilizwe hatuwezi kuwa na nchi tena!
Wazungu hutumia sana hii mbinu ndo maana hata USA wamemleta D. Trump ili aweke mambo sawa kwa maana wale wengine ni ,,wastaarabu" na waoga sana ona sasa anavyopambana kupunguza trade deficit ya USA kwa nguvu zote dadadeki na hakuna Maandamano USA kumpinga unafikiri ni kwa nini? wako pamoja naye, Ufilipino walimleta Duterte ili aondoe drug barons na kweli aliwamaliza hakusikia umoja wa Mataifa wala nini leo hii tatizo limepugua!
Hivyo hili linawezekana kabisa kama wenye Mamlaka wanawaonea haya viongozi wa kidini, wakabidhi watu ambao hawajali kwa muda, ili kuiokoa nchi yetu, kwani tuna Dini nyingi na kila mtu akitaka Dini isikilizwe hatuwezi kuwa na nchi tena!