Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kwa wanaoangalia ITV mh waziri mkuu amekubali kuwasaidia watu wanaokufa kwa ajili ya njaa akiongea kwa masikitiko mh pinda amesema ajamini hali hii iko kwa watu wa arusha kwa zaidi ya miaka mitatu...huku wakionyesha ngombe zikiwa zinakufa na kunyanyua miguu kama bata amesema hakika ni jambo la kuhuzunisha ...nasikia waotot wanakunywa uji mapaka usikua tena ..kwa niaba ya serika naomba jambo hili nitalifuatilia na wale watoto ndio walioniumiza zaidi uwezi kwenda shule na uji tu...na kurudi usome salama....mh pinda alikiri haya ni maafa tunaitaji kuwasaidaa....mmmmh haya pinda huko ndiko kwa x-pinda sasa yeye kashindwa akiwa madarakani sijuia weye wa rukwa...maana yeye anatokea huko uko na kapewa na urais wa monduli wa heshima