Katika hali isiyo ya kawaida leo spika ametangaza kuwa hakutakuwa na maswali ya papo kwa papo kwa kuwa waziri mkuu hayupo.ndugu wana jf je hii ni ishara ya kitu gani?
Kwa Hali ya hewa waliyoichafua CCM kuhusiana na vurugu maeneo mbalimbali nchini, ni wazi maswali yangekua mengi kuliko majibu,
PM kasoma alama za nyakati!!!!
yarabi tobaaaaa, amekimbia?
majukumu gani? Na aliyemtuma ni nani?ni ishara kwamba ana majukumu mengine nje ya ukumbi wa bunge.
Katika hali isiyo ya kawaida leo spika ametangaza kuwa hakutakuwa na maswali ya papo kwa papo kwa kuwa waziri mkuu hayupo.ndugu wana jf je hii ni ishara ya kitu gani?
majukumu gani? Na aliyemtuma ni nani?
Kuna jambo lakimbiwa hapo.
Who is next on the run?
majukumu gani? Na aliyemtuma ni nani?