Waziri mkuu akimbia maswali leo bungeni

Waziri mkuu akimbia maswali leo bungeni

Jamani Kuna Mbunge Wa Singida alikuwa anatafakari Mjadala wa Katiba!! Tunaomba Mtuwekee Hapa Kwani Ni Muhimu kwa Wananchi kuona Wabunge wa Magamba Wanavyotafakari na Kujadili Mswaada wa Katiba!! Ni Mwananchi Ukurasa wa 4 anaitwa Salome Mwadu!! Twaomba Mtuwekee Picha YAke Hapa!!
 
Kazi kweri kweri, vita ni vita muraaa usikimbie muraaa!!

Na kauli zake za "mimi inanipa shida kwa staili yenu ya "peoples power"" leo kasepa
 
Back
Top Bottom