Waziri Mkuu aainisha utoaji taarifa rasmi za coronavirus

Yeye atangaze bei ya sanitizer shilling ngapi huku mitaani ni kulanguana inasikitisha sana.
 
Wenzetu huko marais wao ndio wako front line katika kuzungumza na wananchi wao mara kwa mara kuhusu janga hili na juhudi wanazofanya kukabiliana nalo.

Ummy alishindwa kuwajibika/kuwajibishwa kwenye issue ya matibabu ya Lissu, karma inakuja kuchukua nafasi yake.

Rais pia inabidi awajibike for once kwa usalama na ulinzi wa wananchi wa Tanzania!
 
March 21, 2020

Dokta bingwa Mohamed Janabi : CORONA: "Kuvaa Maski WATU WACHACHE HAKUSAIDII, AHIRISHA KILA KITU, Ni HATARI mara 10!"

Dr. Janabi is the Executive Director of the Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI), Dar es Salaam

Head, and Physician to former President of United Republic of Tanzania.

Dr. Janabi has a rich training history of truly global proportions. Dr. Janabi is a graduate of the Kharkov Medical Institute (Russia), Liverpool School of Tropical Medicine (England), University of Queensland Medical School (Australia), Graduate School of Medicine Osaka University Hospital (Japan), and Bergen University (Norway).

Dr. Janabi is involved in several research projects and is the principal investigator on Atrial Fibrillation study RELY (Multi national), and the Principal Investigator TB/HIV study (multi national). Dr Janabi is also the in country director for Madaktari Africa. Dr. Janabi is also the host of the East African Cardiology Conference and lead on starting the first ACC chapter in Africa. Source: Bio sketches
 
Msemaji mkuu kitaifa ni Rais wa JMT
Wasemaji wakuu wa kisekta ni mawaziri
Wasemaji wakuu wa kiutendaji ni makatibu wakuu
Wasemaji wakuu wa Taasisi ni wakuu wa Taasisi
Wasemaji wakuu wa territories ni wakuu wa mikoa kwa mikoa na wakuu wa wilaya kwa wilaya.
Hivyo wakuu wa mikoa ya Arusha na DSM had all the rights kuongelea Corona mikoa yao.
The right to information inatoa fursa kwa kila mtu kuwa msemaji wa eneo lake.
P
Hata baba ama mama anaweza akaitoa taarifa ya familia yake public ikaelewa.

Kimsingi with thie era kuthibiti taarifa inakuwa ngumu,zaidi tusisitize taarifa ziwe sahihi. Lakini sio hadi bwana x aseme ndiyo ziwe sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serekali ya CCM wao ni mikwala tu kila siku, Raisi mikwala, Mkuu wa mkoa mkiwala, Polisi mikwala, Waziri mikwala, mpaka viongozi wa serekal za mitaa na wao haweshi kutoa mikwala. Dah!
Imefika hatua mpaka raia kuambiwa kwa lugha za mikwala wanahisi ni jambo la kawaida tu.
 
Kuhusu taarifa za corona umeshaambiwa hakuna cha mkuu wa mkoa wala wilaya, msemaji ni Waziri wa Afya au Waziri Mkuu au Makamu wa Rais au Rais mwenyewe.
Mkuu,mwambie P.Mayalla ambae naye kwa sasa anataka kujipa cheo cha Naibu msemaji Mkuu wa Serikali.
 
Afadhari maana tunalishwa sana matango pori, mara Temeke imefurika wagonjwa, maraKambi nyingine imefunguliwa Ilala, mara Mnoganzila haturuhusiwi waswahili ni foreigners tu, mara Korona sawa na mararia tu, ili mradi mtandaoni kila mtu anaongea lake
 
Kabisa, maana sasa kila mtu ni msemaji wa coronavirus , sanitizer na vikohozi.

Serikali ijenge utaratibu Waziri wa Afya kila siku saa kumi na mbili jioni awe anatoa taarifa kuhusu idadi ya wagonjwa waliogundulika kuwa na maambukizi, maeneo na ushauri juu ya jinsi ya wananchi kunawa mikono mara kwa mara na sabuni na kuepuka misongamano.

Je kuna kifo chochote kilichotokea kinachohusiana na Corona au hakuna?
 
Back
Top Bottom