- Thread starter
- #41
March 22, 2020
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania
KISA CORONA, KAMPUNI ZA UTALII ZAPEWA MASHARTI YA KUWALETA WAGENI NCHINI..
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amezitaka Taasisi na mashirika wanaohusika na kuwaleta watalii Mkoani Kilimanjaro wahakikishe wanapima kwanza corona ndipo waweze kupewa ruhusa ya kuingia kw shughuli za kitalii
Source : Global TV online
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania
KISA CORONA, KAMPUNI ZA UTALII ZAPEWA MASHARTI YA KUWALETA WAGENI NCHINI..
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amezitaka Taasisi na mashirika wanaohusika na kuwaleta watalii Mkoani Kilimanjaro wahakikishe wanapima kwanza corona ndipo waweze kupewa ruhusa ya kuingia kw shughuli za kitalii
Source : Global TV online