serikali inasema eti kama una ushahidi wa RADA, tuwapeleke, watawapeleka mahakamani hata kesho
Mkuu umenikumbusha yule jamaa aliyekuwa na walinzi 200 wanawake lakini mwisho wake akaishia kwenye Mtaro wa maji machafuMkuu hatufiki popote. Ila isikupe presha kwa sasa. Mambo ya kulindana yana mwisho wake. Hata wengine.....waliwahi kulindwa lakini ikafika kipindi tukawasepesha.
Lets keep insisting.........:israel::israel:
Kama DEAL ya rada likuwa safi na haikuwa na RUSHWA hiyo "CHANGE YA RADA" tuliyorudishiwa na kununua madawati ilikuwa ya nani? Kwanini serikali isingekataa hiyo pesa kwamba RADA tuliyouziwa ilikuwa bei halali na hiyo CHANGE itakuwa ni wizi kwa BAE System?
Kama bado kuna Watanzania wanafikiri kwamba ipo siku CCM itabadilika, basi watasubiri sana hadi Masiya atakaporudi.
INSANITY IS TO REPEAT THE SAME THING EXPECTING DIFFERENCE RESULTS.
Tanzanians we are insane because we have been keeping voting for CCM expecting that one day they will change. Get away with that insanity my fellow Tanzanians, the writting is already on the wall!