BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wabunge wamekomaa mheheshimiwa membe awataje wahusika rushwa ya rada!eti wahusika hawajulikani huku tunadai chenji
Waziri Mathias Chikawe amemtetea anasema hakuna ushahidi, akaendelea kwamba kama kuna mtu yeyote ndani na nje ya Tanzania mwenye ushahidi 'concrete' aulete; anasema sio ushahidi wa kwenye magazeti.