Waziri Makamba: Hatujafanya uwekezaji, Miundombinu ya Umeme imechakaa na Gridi ya Taifa imezidiwa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
1652971217682.png

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
 
Mwenye kiti cha enzi anasema wasitishwe na vijimaneno....... hii nchi ngumu sana.

Huku kushupaza shingo huku kunafikirisha sana.

Katiba Mpya itapatikana kwa juhudi ya wananchi na sio vikosi kazi vyama au mikutano makongamano.

Safari ni ndefu sana kuliko watu wanavyodhani.

Ubinafsi umetawala sana katika awamu zote za utawala hakuna mzalendo wote ni walewale.

Jehova hurumia hii nchi
 
Nguvu kubwa iwekwe kukamilisha ujenze wa Stieggler ili tuwe na uwezo mkubwa kwenye uzarishaji wa umeme....Baada ya hapo nguvu ielekezwe kwenye ujenzi wa LNG plant pale Mtwara na uchimbaji gas baharini..

Mama na team yako wekeni nguvu kwenye hayo mawili kwenye hii mitatu iliyobaki na kama utakiwepo tena kwenye mitano mingine kamilisha railway network hii ya SGR to Mwanza to Kigoma then boresha meter gauge ya Tazara..

Vipaumbele vichache na kuvikamilisha ni bora kuliko kuwa na maaambo meeengi yatakayoishia nusu nusu...
 
Hiyo mitambo haikulalamikiwa enzi ya jk, ilitelekezwa enzi ya JPM, ndio maana awamu ya 6 inalalamika, masharti ya kisayansi ya kufanya service yaliwekwa pembeni ili Siasa ifanye kazi
Hii ya Tanesco kutofanya service miaka mitano ni uongo. Mtambo usipofanya service kwa wakati utakuumbua tu, alafu mtambo huohuo usuhiri mwendazake aende ndio uje usumbue.
Achukue hizo bil 500 mambo mengine yaendelee, watanzania wenyewe washachoka maisha yanawapoga tu kila leo
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Tr 500 zitaliwa na wahuni wala hatutaona mabadiliko. Mama yuko busy kugawia wahuni ulaji. Miradi ya kimkakati iliyoanzishwa na jpm isubiri wahuni wapate hela kwanza.
 
Hii ya Tanesco kutofanya service miaka mitano ni uongo. Mtambo usipofanya service kwa wakati utakuumbua tu, alafu mtambo huohuo usuhiri mwendazake aende ndio uje usumbue.
Achukue hizo bil 500 mambo mengine yaendelee, watanzania wenyewe washachoka maisha yanawapoga tu kila leo
Kama umechoka unapumzika, shida iko wapi kwani?
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Waziri analalamika, wananchi wanalalamika,Rais analalamik!you guys stop this nonsense!!we you to come up with a soln sio mnalalamikalalamika tuu!umepewa uongozi njoo na soln!!sio kulalamika!unafanya nn kama unalalamikalalamika tuu!!!
 
Waziri analalamika, wananchi wanalalamika,Rais analalamik!you guys stop this nonsense!!we you to come up with a soln sio mnalalamikalalamika tuu!umepewa uongozi njoo na soln!!sio kulalamika!unafanya nn kama unalalamikalalamika tuu!!!
* we want
 
Back
Top Bottom