Duu we jamaa wa wapi wewe? kwa taarifa yako ni kwawaida sana kuwa na Phd kwa viongozi, na kwa mtu kama magufuli sio ajabu...hosea alipata Phd kabla ajaingia TAKUKURU
acha pupa kijana unatia aibu
lahhhh..mwili umenisisimka nilivyosoma comment yako, sijawahi kuona comment dhaifu kama hii..ngoja nizime na computer nilale kabisa
lahhhhhh