nagG
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 277
- 258
Mkoa wa pwani tumelipa hiyo 200000 ya urasimishaji kwa kampuni wakapima ila wakati wa kutoa hati wakasema hawahusiki wamepeleka mafaili yetu serikalini tulipofika serikalini wakasema inabidi tulipie gharama zingine 180000 baada ya kulipia mpaka sasa wapo kimya na hati hatujaiona, hivi hii inakuaje?? Lukuvi unayajua haya